Leo nimeamka kufanya mazoezi ya kukimbia ila yaliyonikuta acheni tu!

Leo nimeamka kufanya mazoezi ya kukimbia ila yaliyonikuta acheni tu!

Hahaha sasa maji ya upako ndio yakuokoe katika uovu wako? Piga goti chini, jisogeze mbele yake maana Yeye ni mnyenyekevu wa moyo na mpole wa haki hata atusamee shambolic zetu then pmba ulinzi India mtaani kwenye shuguri zako😊
 
Sijafikaaa hata lugalo

Nkakumbuka tushike sana neno la Mungu


Nakunja kona ya kawe nkakumbuka math 2.4

Waovu watakimbia bila kukimbizwaa

Nimerudi zangu najimwagia maji ya upako

Asbh njema wapendwa
 
T123
 

Attachments

  • 1723090356595.jpg
    1723090356595.jpg
    302.1 KB · Views: 5
  • 1723089808787.jpg
    1723089808787.jpg
    144.6 KB · Views: 5
4.When he had called together all the people’s chief priests and teachers of the law, he asked them where the Messiah was to be born.
 
....Waovu watakimbia bila kukimbizwaa........ Ndoto za asubuhi na mchana zinawapagawisha watu sanaa ... waweza ota upo Marekani ili hali upo unaishi Kawe mzimuni
 
Sijafikaaa hata lugalo

Nkakumbuka tushike sana neno la Mungu


Nakunja kona ya kawe nkakumbuka math 2.4

Waovu watakimbia bila kukimbizwaa

Nimerudi zangu najimwagia maji ya upako

Asbh njema wapendwa
Pole muovu🤣
 
We phalla umeifanya siku yangu😂
 
Sijafikaaa hata lugalo

Nkakumbuka tushike sana neno la Mungu


Nakunja kona ya kawe nkakumbuka math 2.4

Waovu watakimbia bila kukimbizwaa

Nimerudi zangu najimwagia maji ya upako

Asbh njema wapendwa
Wee jamaa miyeyusho ujue
 
Back
Top Bottom