Mithali 28:1Sijafikaaa hata lugalo
Nkakumbuka tushike sana neno la Mungu
Nakunja kona ya kawe nkakumbuka math 2.4
Waovu watakimbia bila kukimbizwaa
Nimerudi zangu najimwagia maji ya upako
Asbh njema wapendwa
Mithali 28:1 inakuhusu🤣🤣Na mie ndo narudi. Km 9 ila kifua kinawaka moto. Helpimi Jizazi 🙏🏿
una shida kwenye akili yako si bureSijafikaaa hata lugalo
Nkakumbuka tushike sana neno la Mungu
Nakunja kona ya kawe nkakumbuka math 2.4
Waovu watakimbia bila kukimbizwaa
Nimerudi zangu najimwagia maji ya upako
Asbh njema wapendwa
Wewe ni shimba/simba lkn huna ujasiri kana simba unakimbia🤣
HahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahhaahahhaSijafikaaa hata lugalo
Nkakumbuka tushike sana neno la Mungu
Nakunja kona ya kawe nkakumbuka math 2.4
Waovu watakimbia bila kukimbizwaa
Nimerudi zangu najimwagia maji ya upako
Asbh njema wapendwa
Kimbuka DSM ndo inayochsngia pato la la Taifa kwa zaidi ya asilimia 30. Ingewezekana bila kufanya kazi?Wanaume wa Dar ndio maana mnasemwa semwa kila leo. mtatafuta excuse zozote ili mradi msijishughulishe tu.
Mimi ndio narudi hapa baada ya kukata Km zangu 12.
SYB...💪🏿💪🏿💪🏿Wewe ni shimba/simba lkn huna ujasiri kana simba unakimbia🤣
Wingi wa watu na hata kufanya kazi sio kufanya mazoeziKimbuka DSM ndo inayochsngia pato la la Taifa kwa zaidi ya asilimia 30. Ingewezekana bila kufanya kazi?
Mtu akikupiga shavu la kushoto wewe mgeuzie la kulia najua wewe ni mfuata maandiko na hili nalo utakuwa unalifuata, hilo sina shaka nalo. Sijui utakuwa umeshapigwa makofi mangapi mpaka saiviSijafikaaa hata lugalo
Nkakumbuka tushike sana neno la Mungu
Nakunja kona ya kawe nkakumbuka math 2.4
Waovu watakimbia bila kukimbizwaa
Nimerudi zangu najimwagia maji ya upako
Asbh njema wapendwa