Alinichafua kweli nafsi yangu!Ulifanya Jambo jema sana mtani wangu...Unajua kukaa kimya ni busara.. Ugomvi hausaidii saa nyingine
We ndo mchokozi. Umemkuta dada wa watu nje ukaleta kiherehere cha kuwahi kwenye foleni. Ningekuwa mimi ningekuzaba kibao.Ila alinikera kwa kweli.
pole sana MtaniAlinichafua kweli nafsi yangu!
Mie niliona niko kwenye haki kwa kuwa mlango ulivyofunguliwa nilienda kupanga foleni lakini yule dada alienda kaunta, pia sijawahi kuona utaratibu kuwa aliyewahi kufika kwenye jengo la benki kabla haijafunguliwa lazima awe wa kwanza kuhudumiwa. Huwa wakishaingia wateja wanapanga foleni. Ahsante kwa kucomment kwenye uzi wangu.Umeianza vibaya kwa kukosa kuheshimu wenzako waliofika kwenye mlango wa benki kabla yako.
Yaani wewe kwa kifupi ndio unatabia mbaya sana sana. Jirekebishe
Nimekushangaa umekuja kuiandika huku umejionyesha tabia yako ilivyo
Ni kweri rumburiabora umemwachia nafasi..balaa haiko kwako ameenda na balaa lake
ni kweli Jovitha kuna wanawake washari kuanzia mtaani kwao hadi benki.Ulifanya jambo Jema sana kukaa kimya kutoshughulika nae, ulitumia busara ukimya nalo jibu la mjinga
Lakini baada ya milango kufunguliwa yeye alikwenda kule kaunta, mie nikawa nimeenda kupanga foleni. hakuingia moja kwa moja kwenye foleni alianzia kwanza kule kaunta.mkuu lkn umesema umekuta watu pale nje. kwa hiyo kufungua mlango na wewe kuwa wa kwanza kuingia haikufanyi kuwa wa kwanza kufika bank.
kwa logic hiyo kama dada yule ulimkuta pale nje alikuwa sahihi.
pole lakini
hahaha, wengi tunavurugwa lakini ukiwa na wenzio unasahau "mivurugo" yako. hahahahahah. Upo Shunie umepotea kidogoKukaa kimya ni jibu la mjinga ameshatoka kwake amevurugwa
Na mimi pia ni mwanamke sio mwanamme, hahahahahahaUkigombana na mwanamke anakufanya kama mwanamke mwenzake,vizuri kumdharau,atakuwa kanyimwa dudu na mtu wake ndio maana ana kisirani
hahaha, ukirusha ngumi si tutashitakiwa kupigana hadharani, hahahaPole sana na hongera kwa kubarikiwa hekima.
Kwakua amejibu kwa shari, haswa hapo kwenye "...umechanganyikiwa..." Mimi ningekua nisharusha ngumi.
Ahsante kwa pongezi mxsdkBusara ni kipimo cha akili.umetumia akili ya busara, nakupongeza.
SijakuelewaUngegongwa na gari na kuwa ICU ungesemaje?
Sent from my Kimulimuli