Leo nimeanza siku yangu na balaa

Mkuu we kama cyo muoga basi umekua mtumwa wa busara...kama ni mimi walinzi ndio wangeamua

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji4]

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Inaonekana tu kua huyo mwanamke mwenzio ni mswahili.

Ila busara ni kuwapisha wale uliowakuta watangulie kwenye huduma kwanza,na hapo huyo dada ana nafasi yakutangulia kuhudumiwa kabla yako.

Kukuongeza busara zaidi,kwasisi watumia daladala ikiwa umepandia katikati ya safari na kusimama ndani ya daladala

Kisha ikatokea abiria mmoja aliekua kakaa kushuka,busara zaidi nikumuacha alietangulia kusimama kabla yako akae wewe uendelee kusimama.
 
Nimeeleza kuwa aliwahi kufika benki kabla hawajafungua, na mie nilifika dakika mbili kabla ya kufungua benki, walivyofungua benki yeye hakwenda kwenye foleni aliwekwenda moja kwa moja kwenye kile kitengo cha huduma kwa wateja alikaa muda kule, mie nilivyoingia benki nilienda moja kwa moja kusimama kwenye foleni nikiwa mtu wa kwanza, sasa iweje awe na haki ya kunipita kwa kuwa aliwahi kufika eneo la benki kabla hakujafunguliwa.!!!
 
Hicho ndicho nnachokisema,nikua tu huyo mdada amekua mswahili,angekuja kwa kauli nzuri akakueleza naamini ungemuelewa kwakua nikweli ametangulia kufika benki na wewe ulimuona.
 
Kiongozi hizo takwimu wewe umezitoa wapi? au hiyo ni kwaa mjibu wa maccm!!!
Hahahaa usiwakasirikie MaCCM bure bwana nilikose zaidi ya bilioni sita na sio tirion, kinachotufanya tuonane wengine ma CCM, wengine maCHADEMA, wengine ma CUF na wengine ma NCCR na nk, ni njaa/uchuu wa madaraka tuuu ndugu, tukishashiba(kama kushiba kupo) huo ujinga utapungua sana, tunauabudu sana mkate, hata kama ni kwa gharama za maisha ya watu wengine kwa sababu tu ya mapote yaliyome fikrani mwetu.

Asante kwa angalizo hilo la takwimu!
 
Kipindi hiki watu wengi wanatembea huku vichwani mwao wamejawa na hasira sana, kwa hiyo ukim provoke tu kidogo wewe ndio unakuwa sehemu ya kupunguzia hasira zake za wiki nzima.


Mimi mwezi ulioisha kuna maza mmoja nilimkanyaga kwa bahati mbaya kwenye gari tusi alilonipa sasa "wewe kaka hebu toa mapumbu yako kwenye mguu wangu, hauoni umenikanyaga"

Niliona aibu sana.
 
Pole sana. Kukaa kimya ni bonge la suluhisho. Ila kama ni mwenye akili timamu lazima baadae atajiuliza na nafsi yake itamsuta.
 
Chikira leo nikama
Balaaa tumeliamkia
Wote aiseee!!, hata mm
Cku yang ineharbiwa


Na mpumbavu mmoja
Yan mpaka mudy ya kaz
Imekata cna hata ham
Nae kabisa

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
hahaha wale walinzi wanaosinzia wangeniweka korokoroni masaa kadhaa kuna siku niliwahi kulianznisha upuuzi huohuo wa crdb na mifoleni na network halafu nimesimama masaa 5 kisha nafika mbele teller ananiambia kitambulisho hakitambuliki wakati ni cha kazi na ndio mshahara nilienda kuchukua hahahaha kisha nilikuwa na hangoner maana ilikuwa jumamosi hakuna aliyeweza kunitoa nje si askari wala wahudumu mpaka walinihudumia swain kwana hakuna viti pili network ilikata yaani saa 2 mpaka 6 halafu teller ananirudisha nyuma hahaha siku moja nilikutana naye mitaani akaniuliza eti mwanamke ninakuwaje mbabe namna ile ?/
nikacheka tu na kumwambia hela nihangaike kuipata kisha huku mabenk mnajifanya miungu watu kutuhangaisha na nyodo tena crdb wanga kweli...............

back to the topic huyo mwanamke angechezea vitasa nadhani tungetupwa nje wote wawili
 

(bold) nimecheka kwa sauti kubwa hadi nimejistukia mtu angenikuta sijui angeniona chizi au kitu gani?!
 
Pole sana. Kukaa kimya ni bonge la suluhisho. Ila kama ni mwenye akili timamu lazima baadae atajiuliza na nafsi yake itamsuta.
Ahsante emmyta, ndio hivyo tunakutana watu wa kila aina
 
Hata hivyo nilimwacha tu apite sikutaka shari
Ulifanya vizuri tunatakiwa tuwaelekeze utaratibu wale wote wasiojua utaratibu hasa tunapokua hizi sehemu za huduma za kijamii, kwani wengi wetu tunakua hatujui ila ujeuri tu umetujaa.na hii ndio busara haswaa ulifanya vyema kua kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…