Leo nimeanza siku yangu na balaa

Leo nimeanza siku yangu na balaa

Kama ulimkuta alikuwa sahihi maana unasema ulikuta wateja wengine washafika eneo la bank so obvious uliowakuta wakisubiri mlango ufunguliwe walipaswa kukutangulia.

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Huyo mdada atakuwa hajapata kitu cha fasta asubuhi a.k.a amka na BBC

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Huwa inasaidia?

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
Sikulaumu.juzi tu ilitokea hvyo benki wadada wawili.tumeingia foleni imevurugika.mmoja yupo mbele mwingine nyuma.ghafla yule wa nyuma akakaa mbele ya mwenzie akamwambia umenikutaa.
Na mashavu kavimbisha.nikajiuliza kwanini asingemvumilia tu wakati angetoka wa mbele yake angeingia yeye.bila hata kukwaruzana.

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Ndio hivyo bwana wakati mwingine ni bora tu kubakia kama ilivyo ID yako kuepusha shari
 
Kuna nafasi za kazi uandishi Ijumaa,KIU,Sani nicheki maana unaonekana umebobea ktk fani
 
Kuna nafasi za kazi uandishi Ijumaa,KIU,Sani nicheki maana unaonekana umebobea ktk fani
Sifa za mwombaji ni zipi? mshahara ni shilingi ngapi? mwisho wa maombi ni lini? maombi yatumwe kwa nani na kwa njia ipi? Kazi na majukumu yangu ni yapi? hahahahah
 
Nilivyosoma heading Nikadhani umeanza siku zako zile wachezaji wa simba wanazofanyaga mazoezi
Mkuu samahan lakin,juz watu walikua wanajadili wanahis wew ndio bikira wa kisukuma,je una taarifa hiz,wakawa wanaskilizia kama utakua active hum
 
Wala hujaanza siku vibaya, tafsiri unayoijipa ndiyo unayoiishi, kwani hujui duniani kuna watu zaidi ya tirion 6 na kila mtu anamawazo yake?, hivyo hakuna ubaya kukutana na watu wanaokwenda kinyume na utaratibu/ustaarabu wako. Angalia ulivyoianza siku vizuri mno kwanza umeanzia zinakowekwa hela, harafu wa kwanza kuongea naye ni mdada ambaye kimantiki ni msaadaizi wako kwa mujibu wa maumbo ya dunia , wala hupaswi kumchukulia kiihivyo kwani inawezekana amevurugwa vibaya mno aliko toka.

Focus endelea nayako, kwani hii nayo ni siku njema iliyoumbwa na MUNGU ili wewe upige hatua nyingine mpya kwenye maisha yako.
Kiongozi hizo takwimu wewe umezitoa wapi? au hiyo ni kwaa mjibu wa maccm!!!
 
hicho ulichokifanya ndiyo unaitwa ukomavu wa fikra na umeonyesha uvumilivu ambao wengi wetu hatuna, hongera sana kwako.
 
Back
Top Bottom