glory to yhwh
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 1,026
- 1,401
Nyomi niliyoikuta hapo
Balaa na nusu
Yaani kama una kipato saivi na hausevu, hauwekezi jua tu unataka kutesa watu ukistaafu
Naongea na wewe uliyeajiriwa[emoji58]
Wafanyabiashara hawatakagi kusikia hizi mambo[emoji3], atakupa hesabu za china na namna anavoweza kuizalisha hiyo hela mara 7 kwa mwaka
Balaa na nusu
Yaani kama una kipato saivi na hausevu, hauwekezi jua tu unataka kutesa watu ukistaafu
Naongea na wewe uliyeajiriwa[emoji58]
Wafanyabiashara hawatakagi kusikia hizi mambo[emoji3], atakupa hesabu za china na namna anavoweza kuizalisha hiyo hela mara 7 kwa mwaka