Leo nimefanya scrub. Mmh!

Scrub tu mnapiga kelele. Massage ndo kiboko unafanyiwa ukiwa huna nguo hata moja then unapakwa mafuta mwili mzima halafu mdada anakuchua taratiiibu kwa mikono laini anagusa sehemu zote.
Wakati huo yeye anakuwa kavaa. Massage unakaa au unalala. Hapo simwachi acha nifunguliwe kesi ya ubakaji. Yaani naked dushe nje afu niondoke bila kumgoga?

Massage inasaidia nini haswa? Ushamba mzigo jamani msinicheke
 
VIDEO Plz tuamini
 
Wakati huo yeye anakuwa kavaa. Massage unakaa au unalala. Hapo simwachi acha nifunguliwe kesi ya ubakaji. Yaani naked dushe nje afu niondoke bila kumgoga?

Massage inasaidia nini haswa? Ushamba mzigo jamani msinicheke
Kafanye massage utalia huko ndani ya chumba
 
duh !anakuingizaje mkono kifuani? jaman jaman ! nataman wanaume wanaofanya scrub niwashauri waongizane na wake zao !inaumiza sana jaman !na mlivyo na mihemko!!!!!!!!ptu
Hahaha ww utaka mdada wawatu atiwe makofi bure hata kama yupo kazini.
 
Kwan miwaya ipo bebashop

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
 
Massage bei gani niweke bajeti week ijayo!!..
Kuna saloon flani maeneo ya kwa remmy pale naionaga nikatalii!..
 
mimi nilinyoa nywele nikaambiwa naweza kufanyiwa masaji popote nitakapo ,,,,,,,,,hata nyumbani .Nikamueleza yule binti mimi nina familia akasema hata hotelini atanifanyia total body masaji.Mabinti wa saluni wanategemea wateja wawalipe ndio waishi mjini,,,,,be careful
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…