Ndio nzuri sasa,demu anajifunza styles mpya ananiletea.Ukawa umepata dem, unachapiwa kila siku!
Wakati huo yeye anakuwa kavaa. Massage unakaa au unalala. Hapo simwachi acha nifunguliwe kesi ya ubakaji. Yaani naked dushe nje afu niondoke bila kumgoga?Scrub tu mnapiga kelele. Massage ndo kiboko unafanyiwa ukiwa huna nguo hata moja then unapakwa mafuta mwili mzima halafu mdada anakuchua taratiiibu kwa mikono laini anagusa sehemu zote.
Maeneo hayo hayo!Daaah kweli pale jirani na kwa meku?
Daah! Akagusa kichwa tu.. Mtu mzima nikabaki kama nimepigwa shoti. Hawa wadada wezi sana. Kuna sehem wakigusa tu wanajua mnara lazima usomehaaaaaaa................akasemaje?🙂🙂🙂
VIDEO Plz tuaminiSirudii tena huu upuuzi. Kwa mara ya kwanza tangu niijue hii dunia leo ndio nimefanya scrubb. Leo jioni niliingia saloon sijui mnaita baba shop nilienda kwa ajili ya kutengeneza nywele na ndevu. Baada ya kumaliza kunyolewa kinyozi akanishauri nifanye scrubb.
Basi nikaingia kwenye kijichumba, huko nikawakuta wadada wa3 warembo. Kidume nikakalishwa. Akaja m1 akaanza kunipaka aina ya mafuta lakini kama yana mchanga hivi. Akaanza kunichua sura, akaja mpaka kwenye kidevu, huku akiniambia una ndevu nzuri! Akaja kwenye masikio huko ndio ikawa shida. Aliendelea kunisugua sagua uso kidevu masikio na shingo huku akitumia mikono yake laini, mwenzenu nimepata shida.
Alipomaliza tu akanipeleka kwenye kijibomba sasa ni wakati wa kuoshwa. Mungu wangu, majaribu ni mtaji. Mrembo yule alishajua nipo kwenye hali gani akazidisha uchokozi, dah.
Mzee mzima nikafutwa na taulo nikapakwa after sheve kisha mafuta.
Sirudii tena huu upuuzi.
Kafanye massage utalia huko ndani ya chumbaWakati huo yeye anakuwa kavaa. Massage unakaa au unalala. Hapo simwachi acha nifunguliwe kesi ya ubakaji. Yaani naked dushe nje afu niondoke bila kumgoga?
Massage inasaidia nini haswa? Ushamba mzigo jamani msinicheke
Avatar yako nimeipenda sana.hahhhahahaha nacheka na neno lako majaribu ni mtaji !lol
Video tena! Utapata wapi huo muda wa kuchukua video! Hapo ni mwendo wa kufadhaika. Ila ukiingia kwenye vile vyumba vyao lazima akili iruke. Maana unakuwa goigoi kweli.VIDEO Plz tuamini
Avatar yako nimeipenda sana.
Ahsante sanakaribu sana !
Hahaha ww utaka mdada wawatu atiwe makofi bure hata kama yupo kazini.duh !anakuingizaje mkono kifuani? jaman jaman ! nataman wanaume wanaofanya scrub niwashauri waongizane na wake zao !inaumiza sana jaman !na mlivyo na mihemko!!!!!!!!ptu
Hahahahando walivyo washenx sana mimi sipendag mume wangu aende labda nisijue
Mscrub mumewe hatoenda mama yoyoondo walivyo washenx sana mimi sipendag mume wangu aende labda nisijue
Kwan miwaya ipo bebashopbinafsi sipendi mwanaume anayefanya mascrub!unataka upate nini huko kwenye scrub !raha ya mwanaume awe na ngozi kavu kavu mixer na ndevu uchomwe chomwe kwa cheeks!sasa men kidevu lainiiii !pyeee !
mtakufa kwa miwaya shauri zenu endekezeni tu madude hayo!