jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,329
Huku scrub mixer massage huku kuja eanawake wanapakwa rangi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulizia vizuri bei mkuu, usije kuishia kuliaMassage bei gani niweke bajeti week ijayo!!..
Kuna saloon flani maeneo ya kwa remmy pale naionaga nikatalii!..
hawaniambii wazoefu wa sehemu hizo sasa!!...Ulizia vizuri bei mkuu, usije kuishia kulia
Masaji na sikirabu inaweza kuwa kama elf 50 tuhawaniambii wazoefu wa sehemu hizo sasa!!...
ngoja nijiandae kwa adhabu zao 😀Masaji na sikirabu inaweza kuwa kama elf 50 tu
Muwe mkinyoa mnatoka nakuoshea nyumbaniAfu vidada vyenyewe vichokozo, vimenibania pua. Majaribu ni mtaji
Nenda hiyo saloon aliyosema huyo mkuu [emoji28] [emoji28] [emoji28]Mbona mimi sikufanyiwa haya nayosikia humu Jf,nielekezeni huko nikahakikishe
Umeingia Jf kabla ya scrub kumbe...?
Hutaki kufanya scrub au hutaki kushikwa na wadada wanaotega, em weka sawa hapo sijaelewa pointSirudii tena huu upuuzi. Kwa mara ya kwanza tangu niijue hii dunia leo ndio nimefanya scrubb. Leo jioni niliingia saloon sijui mnaita baba shop nilienda kwa ajili ya kutengeneza nywele na ndevu. Baada ya kumaliza kunyolewa kinyozi akanishauri nifanye scrubb.
Basi nikaingia kwenye kijichumba, huko nikawakuta wadada wa3 warembo. Kidume nikakalishwa. Akaja m1 akaanza kunipaka aina ya mafuta lakini kama yana mchanga hivi. Akaanza kunichua sura, akaja mpaka kwenye kidevu, huku akiniambia una ndevu nzuri! Akaja kwenye masikio huko ndio ikawa shida. Aliendelea kunisugua sagua uso kidevu masikio na shingo huku akitumia mikono yake laini, mwenzenu nimepata shida.
Alipomaliza tu akanipeleka kwenye kijibomba sasa ni wakati wa kuoshwa. Mungu wangu, majaribu ni mtaji. Mrembo yule alishajua nipo kwenye hali gani akazidisha uchokozi, dah.
Mzee mzima nikafutwa na taulo nikapakwa after sheve kisha mafuta.
Sirudii tena huu upuuzi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Siibiwagi kitoto hata siku moja
Yani kahaba wa salon aniiibie kwa kunitomasa tomasa labda na mimi niwe kahaba mwenzake
Twambie mkuu ili nasi tujifunze [emoji28] [emoji28]Hahhah mm siku yalinikutaga hivhv baad ya kunyoa kanilazimisha nifanye scrub nikasem isiwe kes nikaingia hiko kichumba mrembo akanivua shat nikashtuka san dah kilichotokea huko dah stak kuendelea
Vyote sitaki kufanya. Haswa wale wadada wezi wenye kutuweka kwenye majaribu.Hutaki kufanya scrub au hutaki kushikwa na wadada wanaotega, em weka sawa hapo sijaelewa point