Kariakooking1978
JF-Expert Member
- Jul 11, 2023
- 549
- 1,078
Hellow members,leo jioni angu haijawa powa sana baada ya kufukuzwa na mwanamama mmoja mmiliki wa duka la viungo pale kariakoo akidai kuwa mimi namchunguza.
Ilikuwa hivi mida ya saa saba mchana leo kuna mteja wangu mmoja hivi kutoka mkoa x kanipigia kuwa anataka viungo vifuatavyo kwa bei ya jumla (zabibu kavu,mdarasini wa india,corriander seeds, fennel, uwatu, kungumanga na star anise),Sasa toka nianze kuagiza mizigo kutoka kariakoo kwenda mkoani sikuwahi agizwa bidhaa za namna hii hivo ikanilazimu kuingia chimbo kutafuta.
Baada ya kuzunguka sana kule sokoni kariakoo nikawa napishana na wale wauzaji wa reja reja wa kwenye vimeza kila nikiwauliza wapi wanachukua mzigo wakawa wanakaza hadi mzee mmoja wa makamo alipoamua kunielekeza duka la bei ya jumla.
Baada ya kuelekezwa duka husika nikafanikiwa kufika na kweli kwa muonekano wa pale nje nikajihakikishia hapa wanauza kwa bei ya jumla kwani nilikuta kuna bidhaa zipo kwenye maroba makubwa pia kuna mizani na mifuko mikubwa mikubwa tu sio kama kule nje.
Basi nikaanza na duka la kwanza nilimkuta mama hivi kakaa nje,nikamsalimu baada ya salamu nikamuuliza kama naweza kupata hizi bidhaa huku nikumuonyesha majina ya hizo bidhaa kutoka kwenye simu.
Yule mama akajibu ingia ndani kwa hao vijana mimi sioni bhana, nikaingia ndani nikakuta washikaji wawili wanachezea simu nikawauliza vipi hizi bidhaa kwa bei ya jumla unauzaje. Mshikaji mmoja akaanza kunitajia,alinitajia zabibu kavu,mdarasini na kungumanga gafla yule mama akamkatisha wewe mteja unanunua au unauliza bei au umekuja kunichunguza.
Mimi nikamjibu hapana nauliza bei namtumia boss wangu apa ananitumia hela sasa hivi natoa hapo nachukua mzigo mama.Yule mama akaanza kuwaka toka dukani kwangu na wewe x( yule kijana wa dukani) fanya mambo mengine achana na huyo mteja.
Yule jamaa akajaribu kunitetea wapi yule mama akakaza nitoke kwamba mimi namchunguza ila sio mnunuzi.
Basi na mimi nikaona isiwe kesi nikasogea duka la mbele ake ambapo nilikuta wateja wawili wanahudumiwa,baada ya wale wateja wawili nikamueleza shida yangu yule muuzaji.Akanisikiliza na akanipa ushirikiano mzuri sana,na mimi bila kuchelewa nikampa feedback boss akatuma kibunda nikatoa chapu nikachukua mzigo.
Yule muuza duka niliponunua mzigo alinisaidia na box kabisa la kuwekea nikaufunga vizuri pale coz ulikuwa mkubwa nikatoka kuwaita washikaji wale wa vitolori wakabeba uku tukipita nao mbele wa yule mama mwenye gubu.
Wakati napita na mzigo mbele yake nilimuona anashusha miwani akanitazama akavaa tena miwani nadhani amejifunza kitu leo maana kamzigo nilikonunua sio haba kwa ile jioni.
Anyway ndo changamoto za kazi yangu.Lakini sijakata tamaa naendelea na kazi yangu kama ifuatavyo:
NANUNUA,NAFUNGA NA KUSAFIRISHA BIDHAA KUTOKA KARIAKOO KWENDA MIKOA YOTE TANZANIA NA NCHI JIRANI.
HUDUMA ZA ZIADA
📌Nafuata,nafunga na kusafirisha bidhaa iliyokwisha kununuliwa Kariakoo kupitia mitandao kama fb na insta.
📌Nafanya ukaguzi na kuhakiki ubora wa bidhaa uliyonunua kariakoo kupitia mitandao kama fb na insta.
📌Nafanya malipo ya bidhaa uliyonunua kariakoo kupitia mitandao kama fb na insta baada ya kuhakiki na kukagua ubora wa bidhaa.
📌Nakusanya bidhaa,nazifunga kwa pamoja kisha nasafirisha kama mzigo mmoja kutoka kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania na nchi jirani.
SIMU:0745645035 (PIGA/SMS/WHATSAPP)
"HUDUMA ZA HARAKA NA KUAMINIKA"
Ilikuwa hivi mida ya saa saba mchana leo kuna mteja wangu mmoja hivi kutoka mkoa x kanipigia kuwa anataka viungo vifuatavyo kwa bei ya jumla (zabibu kavu,mdarasini wa india,corriander seeds, fennel, uwatu, kungumanga na star anise),Sasa toka nianze kuagiza mizigo kutoka kariakoo kwenda mkoani sikuwahi agizwa bidhaa za namna hii hivo ikanilazimu kuingia chimbo kutafuta.
Baada ya kuzunguka sana kule sokoni kariakoo nikawa napishana na wale wauzaji wa reja reja wa kwenye vimeza kila nikiwauliza wapi wanachukua mzigo wakawa wanakaza hadi mzee mmoja wa makamo alipoamua kunielekeza duka la bei ya jumla.
Baada ya kuelekezwa duka husika nikafanikiwa kufika na kweli kwa muonekano wa pale nje nikajihakikishia hapa wanauza kwa bei ya jumla kwani nilikuta kuna bidhaa zipo kwenye maroba makubwa pia kuna mizani na mifuko mikubwa mikubwa tu sio kama kule nje.
Basi nikaanza na duka la kwanza nilimkuta mama hivi kakaa nje,nikamsalimu baada ya salamu nikamuuliza kama naweza kupata hizi bidhaa huku nikumuonyesha majina ya hizo bidhaa kutoka kwenye simu.
Yule mama akajibu ingia ndani kwa hao vijana mimi sioni bhana, nikaingia ndani nikakuta washikaji wawili wanachezea simu nikawauliza vipi hizi bidhaa kwa bei ya jumla unauzaje. Mshikaji mmoja akaanza kunitajia,alinitajia zabibu kavu,mdarasini na kungumanga gafla yule mama akamkatisha wewe mteja unanunua au unauliza bei au umekuja kunichunguza.
Mimi nikamjibu hapana nauliza bei namtumia boss wangu apa ananitumia hela sasa hivi natoa hapo nachukua mzigo mama.Yule mama akaanza kuwaka toka dukani kwangu na wewe x( yule kijana wa dukani) fanya mambo mengine achana na huyo mteja.
Yule jamaa akajaribu kunitetea wapi yule mama akakaza nitoke kwamba mimi namchunguza ila sio mnunuzi.
Basi na mimi nikaona isiwe kesi nikasogea duka la mbele ake ambapo nilikuta wateja wawili wanahudumiwa,baada ya wale wateja wawili nikamueleza shida yangu yule muuzaji.Akanisikiliza na akanipa ushirikiano mzuri sana,na mimi bila kuchelewa nikampa feedback boss akatuma kibunda nikatoa chapu nikachukua mzigo.
Yule muuza duka niliponunua mzigo alinisaidia na box kabisa la kuwekea nikaufunga vizuri pale coz ulikuwa mkubwa nikatoka kuwaita washikaji wale wa vitolori wakabeba uku tukipita nao mbele wa yule mama mwenye gubu.
Wakati napita na mzigo mbele yake nilimuona anashusha miwani akanitazama akavaa tena miwani nadhani amejifunza kitu leo maana kamzigo nilikonunua sio haba kwa ile jioni.
Anyway ndo changamoto za kazi yangu.Lakini sijakata tamaa naendelea na kazi yangu kama ifuatavyo:
NANUNUA,NAFUNGA NA KUSAFIRISHA BIDHAA KUTOKA KARIAKOO KWENDA MIKOA YOTE TANZANIA NA NCHI JIRANI.
HUDUMA ZA ZIADA
📌Nafuata,nafunga na kusafirisha bidhaa iliyokwisha kununuliwa Kariakoo kupitia mitandao kama fb na insta.
📌Nafanya ukaguzi na kuhakiki ubora wa bidhaa uliyonunua kariakoo kupitia mitandao kama fb na insta.
📌Nafanya malipo ya bidhaa uliyonunua kariakoo kupitia mitandao kama fb na insta baada ya kuhakiki na kukagua ubora wa bidhaa.
📌Nakusanya bidhaa,nazifunga kwa pamoja kisha nasafirisha kama mzigo mmoja kutoka kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania na nchi jirani.
SIMU:0745645035 (PIGA/SMS/WHATSAPP)
"HUDUMA ZA HARAKA NA KUAMINIKA"