Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Pole mkuu,upo pande zipi?Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje?? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!
Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali??
View attachment 2772266
We mnyeramba una hela au unataka umpe gundu jinginePole mkuu,upo pande zipi?
Kuuliza yupo wapi ndo kumpa gundu?We mnyeramba una hela au unataka umpe gundu jingine
Weka huo uzi hapa,ukute anataka engagements tu?Jamaa anazingua Kuna thread kasema malengo yake ni kutimiza mil 12 mwaka huu
Kama huna usingizi chukua kitabu ama Bible ujisomee sio kuleta thread za kikuda humu👌
Maishani mwangu, nishafukuzwa kazi mara kadhaa
ikiwemo kupigana, kumtukana bosi, kusingiziwa kuiba, na kukataa amri za kipumbavu...
We mnyeramba una hela au unataka umpe gundu jingine
Kama watoto wapo primary hamishia wote shule za serikali ila tu wawe chini ya class 4, kama ni sec basi watoe peleka shule ya day ya gharama nafuuMliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!
Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?
View attachment 2772266
Pole mkuu,upo pande zipi?
We mnyeramba una hela au unataka umpe gundu jingine
Jamaa anazingua Kuna thread kasema malengo yake ni kutimiza mil 12 mwaka huu
Kama huna usingizi chukua kitabu ama Bible ujisomee sio kuleta thread za kikuda humu[emoji108]
Maishani mwangu, nishafukuzwa kazi mara kadhaa
ikiwemo kupigana, kumtukana bosi, kusingiziwa kuiba, na kukataa amri za kipumbavu...
Una mke..??
Mna watoto..??
Una pesa ngapi kash..??
Unaishi wapi..??
Ebu kwanza jibu hayo maswqali hapo juu, kisha upate ushauri unao endana na aina ya familia ulionayo, mazingira uliyopo na pesa ulio nayo mkononi wakati huu.