Leo nimefukuzwa kazi rasmi

Leo nimefukuzwa kazi rasmi

Friedrich Nietzsche

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
2,095
Reaction score
3,649
LEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!

Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?

IMG_9729.jpg




Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
 
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!

Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?

View attachment 2772266
Kama watoto wapo primary hamishia wote shule za serikali ila tu wawe chini ya class 4, kama ni sec basi watoe peleka shule ya day ya gharama nafuu
 
Back
Top Bottom