No time to waste jipange maana ukichelewa tu umeishaMliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!
Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?
View attachment 2772266
Acha bangi mkuuMaishani mwangu, nishafukuzwa kazi mara kadhaa
ikiwemo kupigana, kumtukana bosi, kusingiziwa kuiba, na kukataa amri za kipumbavu...
Mkuu naomba nikopeshe hiyo 700,000 Nitakurudishia after 2 weeks, Nina shida sana mkuu, Au hata 500k ikiwezekanamke -ndio
watoto-ndio
kiasi-700,000/=
Mahali -Dar
Watanzania kwa roho mbaya ni kama pipa na mfunikoMkuu naomba nikopeshe hiyo 700,000 Nitakurudishia after 2 weeks, Nina shida sana mkuu, Au hata 500k ikiwezekana
Una roho mbaya kama IHEFUMkuu naomba nikopeshe hiyo 700,000 Nitakurudishia after 2 weeks, Nina shida sana mkuu, Au hata 500k ikiwezekana
Labda ndio maana analia na kucheka,amegundua mipango siyo matumiziJamaa anazingua Kuna thread kasema malengo yake ni kutimiza mil 12 mwaka huu
Kama huna usingizi chukua kitabu ama Bible ujisomee sio kuleta thread za kikuda humu👌
Yaani kuna watu wajuaji Ile mbaya we mvumilie tu jua kabisa sio watu wote ufahamu wetu tunafananaSasa malengo na kilichotokea kuna uhusiano gan??? mkuu…. ndyo n uzi wangu!!
Unazingua sana wewe uoni changamoto aliyonayo na bado unaomba akukopeshe haupo seriousMkuu naomba nikopeshe hiyo 700,000 Nitakurudishia after 2 weeks, Nina shida sana mkuu, Au hata 500k ikiwezekana
Pole sana chief, muombe Mungu akufungulie milango mingine ya kupata kipato na riziki usiyoijua.Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!
Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?
View attachment 2772266
Uwiiii hahahah 😂We mnyeramba una hela au unataka umpe gundu jingine
Kama mtaa unaoishi unaruhusu, na mkeo sio sister do na ni muelewa, mpe 300K afungue genge, sina hakika na mtaji wa genge ni shingapi, ila huo unaweza saidia, na akipata duka la mangi akaomba kuweka genge pembeni inaweza kuwa nzuri zaidi.mke -ndio
watoto-ndio
kiasi-700,000/=
Mahali -Dar
Umempa ushahidi mzuriKama mtaa unaoishi unaruhusu, na mkeo sio sister do na ni muelewa, mpe 300K afungue genge, sina hakika na mtaji wa genge ni shingapi, ila huo unaweza saidia, na akipata duka la mangi akaomba kuweka genge pembeni inaweza kuwa nzuri zaidi.
Hii ni kuhakikisha familia inatengeneza kipato hata kama ni kidogo, kitakachowasaidia kwa mambo kama msosi huku wewe ukipambana kutafuta kazi nyingine.
Pole na kila la heri.
Okay, kaa chini na mkeo kisha umahirikishe aseme nini anaweza fanya kisha mfungulie (napendekeza genge la mboga na nanya na matunda kidogo).mke -ndio
watoto-ndio
kiasi-700,000/=
Mahali -Dar
😊😊😊 kwa nini usiwe specific, kwa mkewe.Tisha sana mwamba, huo ukorofi unaendeleza hadi kwa familia pia?
Mkuu naomba nikopeshe hiyo 700,000 Nitakurudishia after 2 weeks, Nina shida sana mkuu, Au hata 500k ikiwezekana
🤣Itakuwa Boss aliinyaka Thread YakeJamaa anazingua Kuna thread kasema malengo yake ni kutimiza mil 12 mwaka huu
Kama huna usingizi chukua kitabu ama Bible ujisomee sio kuleta thread za kikuda humu👌
Una roho mbaya kama IHEFU
Kweli aiseeJamaa anazingua Kuna thread kasema malengo yake ni kutimiza mil 12 mwaka huu
Kama huna usingizi chukua kitabu ama Bible ujisomee sio kuleta thread za kikuda humu👌