Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
MkuuLEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!
Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?
View attachment 2772266
Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
Una shida na hakika kazi haujafukuzwa ila una tatizo na unashindwa kuliadress
Tafuta mtu mwenye hekima ongea naye