Leo nimefukuzwa kazi rasmi

Leo nimefukuzwa kazi rasmi

LEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!

Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?

View attachment 2772266



Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
Mkuu
Una shida na hakika kazi haujafukuzwa ila una tatizo na unashindwa kuliadress

Tafuta mtu mwenye hekima ongea naye
 
LEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!

Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?

View attachment 2772266



Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
Mkuu
Una shida na hakika kazi haujafukuzwa ila una tatizo na unashindwa kuliadress

Tafuta mtu mwenye hekima ongea naye
 
Kama unahisi umeonewa tafuta wakili au kama ni mwanachama wa chama chochote cha wafanyakazi,nenda karipoti ukiwa na copy ya barua ya kufukuzwa kazi ili mtengeneze mgogo!Ambao mnaenda C.M.A(Commission for mediation and Arbitration).Ambayo ipo kila mkoa,mkishindwana huko mnaenda mahakama kuu,kitengo cha kazi.Ila iwe ndani ya siku 21 kuanzia siku waliyokufukuza.
 
Kama unahisi umeonewa tafuta wakili au kama ni mwanachama wa chama chochote cha wafanyakazi,nenda karipoti ukiwa na copy ya barua ya kufukuzwa kazi ili mtengeneze mgogo!Ambao mnaenda C.M.A(Commission for mediation and Arbitration).Ambayo ipo kila mkoa,mkishindwana huko mnaenda mahakama kuu,kitengo cha kazi.Ila iwe ndani ya siku 21 kuanzia siku waliyokufukuza.
Hapo kwenye mgogo(mgogoro).
 
Kama mtaa unaoishi unaruhusu, na mkeo sio sister do na ni muelewa, mpe 300K afungue genge, sina hakika na mtaji wa genge ni shingapi, ila huo unaweza saidia, na akipata duka la mangi akaomba kuweka genge pembeni inaweza kuwa nzuri zaidi.

Hii ni kuhakikisha familia inatengeneza kipato hata kama ni kidogo, kitakachowasaidia kwa mambo kama msosi huku wewe ukipambana kutafuta kazi nyingine.

Pole na kila la heri.
Ni wazo Zuri but hapo ni kujitolea kumuweka Mke rehani
 
Nilikimbia nchi, maana nilijua sitaweza haya maisha ya mabosi watu weusi kujiona mungu mtu, labda ningeshafugwa jela maana huwa nashindwa kujizuia hasa jitu lina kitambi halafu linakupiga mkwara.
Bro taratibu , sasa kitambi kinahusiana na nini hapo ?

Mimi nimekubali misimamo yako ila sasa umeanza matusi , nitakureport soon kwa moderator [emoji3][emoji3]
 
LEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!

Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?

View attachment 2772266



Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
Kaloge mkuu. Wamakonde nawakubali kwa uchawi.
Baada ya mwezi unarudishwa job.
I come with peace.
 
Mpeni miaka mitatu tu huyo jamaa! Atatusua balaaaa
 
Muandiko wako unaonyesha hujafukuzwa kazi umeamua tu kuleta chai
 
LEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!

Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?

View attachment 2772266



Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.

Kama asset ya kuuza ni godoro tu, ni sawa tu kufukuzwa, hukustaho hiyo kazi.
 
Hivyo vitu vya kawaida,
Kibarua, kinapotea Leo, Kodi ya nyumba inaisha mwezi, ujao, wife anachepuka Leo, unapata msiba, genge lako linaungua! Uliyemkopesha pesa, anaingia mitini hapokei cm,
 
LEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!

Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?

View attachment 2772266



Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
Dah! Ndiyo ukubwa huo. Pole sana. 🙁

Na kama ulikuwa hujajiandaa kwa chochote, basi tegemea kupitia kipindi kigumu cha mpito.
 
Back
Top Bottom