Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
1. "Mmesikia hotuba ya Rais, eti kampa miezi sita umeme ukae sawa."
2. "Sasa miezi sita si mabwawa yatakuwa yameishajaa. Umeme utakuwa wa kumwaga."
3. "Wanatufanyia usanii tu."
3. "Lakini mbona maji tunayo mengi tu. Yamepungua maji wapi? Kwanini wasitumie maji ya baharini kujaza kwenye mabwawa, wameshindwa kuchimba mifereji?"
2. "Hawatumii maji ya chumvi. Labda haya ya kwenye maziwa."
2. "Sasa miezi sita si mabwawa yatakuwa yameishajaa. Umeme utakuwa wa kumwaga."
3. "Wanatufanyia usanii tu."
3. "Lakini mbona maji tunayo mengi tu. Yamepungua maji wapi? Kwanini wasitumie maji ya baharini kujaza kwenye mabwawa, wameshindwa kuchimba mifereji?"
2. "Hawatumii maji ya chumvi. Labda haya ya kwenye maziwa."