TunakulagaHainaga ushemeji ila[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
EndeleaTunakulaga
Tangu nikiwa kijana nilikuwa napinga sana swala la kutembea na mke wa mtu na nilikuwa naona ni ujinga sana.
Nilishaapa mara nyingi sana mbele ya marafiki zangu kuwa sitokaa nitembee na mke wangu hata niwe mhuni kias gan?
Kuna kipindi flan nikiwa bado dam inachemka nilisumbuasumbua mtaani mpk wake za watu wakaanza kujeleta kasi ila nilikuwa nawakata midomo na haikuwa kutokea nikadate na mke wa mtu
Leo yamenikuta mwenzenu....iko hivi..
Jana kuna mtu alinitext instadirect kwenye acc yangu ya biashara ni mdada akinipa cont zake
Nikamfata whatsap nikijua mteja huko akanitumia picha yake nikamkumbuka ni x wangu wa o level bana miaka hiyoooo!! Tukachart akaniambia kaolewa ana watoto wawili na mmewe wanaishi nje ya mji.
Sasa ktk charting za hapa na pale akasema anahitaji tuonane aone ka nimekuwa mbaba maana au bado namwili mdogomdogo
Leo sijatoka nilikuwa najisikia vibaya hivyo biashara kaenda fungua mdogo wangu.
Asubuh tukachart kdg nikamwambia naumwa akauliza napokaa nikamtajia ghafla kimya
Baada ya saa nzima akanipigia kafika nimwelekeze kwangu basi nikamwelekeza akaja nikamfungulia akaingiza gari.
Akadai amekuja kunipa pole ila maongez mengi akawa ni sifa za hapa na pale tunapeana maana na yeye kapendeza ana chura flan amazing na ngozi imekuwa ya mtume sijui ndo dela cream ya ditector Joan
Kwakweli tangu anaingia nimejiapiza moyoni sili mzigo maana ni mke wa mtu ila kilichotokea sijui ila mpaka sasa tuko kwa bed tunajiandaa kuingia round ya tatu
Dah!! Naomba god anisamehe sikupanga
Tangu nikiwa kijana nilikuwa napinga sana swala la kutembea na mke wa mtu na nilikuwa naona ni ujinga sana.
Nilishaapa mara nyingi sana mbele ya marafiki zangu kuwa sitokaa nitembee na mke wangu hata niwe mhuni kias gan?
Kuna kipindi flan nikiwa bado dam inachemka nilisumbuasumbua mtaani mpk wake za watu wakaanza kujeleta kasi ila nilikuwa nawakata midomo na haikuwa kutokea nikadate na mke wa mtu
Leo yamenikuta mwenzenu....iko hivi..
Jana kuna mtu alinitext instadirect kwenye acc yangu ya biashara ni mdada akinipa cont zake
Nikamfata whatsap nikijua mteja huko akanitumia picha yake nikamkumbuka ni x wangu wa o level bana miaka hiyoooo!! Tukachart akaniambia kaolewa ana watoto wawili na mmewe wanaishi nje ya mji.
Sasa ktk charting za hapa na pale akasema anahitaji tuonane aone ka nimekuwa mbaba maana au bado namwili mdogomdogo
Leo sijatoka nilikuwa najisikia vibaya hivyo biashara kaenda fungua mdogo wangu.
Asubuh tukachart kdg nikamwambia naumwa akauliza napokaa nikamtajia ghafla kimya
Baada ya saa nzima akanipigia kafika nimwelekeze kwangu basi nikamwelekeza akaja nikamfungulia akaingiza gari.
Akadai amekuja kunipa pole ila maongez mengi akawa ni sifa za hapa na pale tunapeana maana na yeye kapendeza ana chura flan amazing na ngozi imekuwa ya mtume sijui ndo dela cream ya ditector Joan
Kwakweli tangu anaingia nimejiapiza moyoni sili mzigo maana ni mke wa mtu ila kilichotokea sijui ila mpaka sasa tuko kwa bed tunajiandaa kuingia round ya tatu
Dah!! Naomba god anisamehe sikupanga
Mauti na yakuandame! AmenTangu nikiwa kijana nilikuwa napinga sana swala la kutembea na mke wa mtu na nilikuwa naona ni ujinga sana.
Nilishaapa mara nyingi sana mbele ya marafiki zangu kuwa sitokaa nitembee na mke wangu hata niwe mhuni kias gan?
Kuna kipindi flan nikiwa bado dam inachemka nilisumbuasumbua mtaani mpk wake za watu wakaanza kujeleta kasi ila nilikuwa nawakata midomo na haikuwa kutokea nikadate na mke wa mtu
Leo yamenikuta mwenzenu....iko hivi..
Jana kuna mtu alinitext instadirect kwenye acc yangu ya biashara ni mdada akinipa cont zake
Nikamfata whatsap nikijua mteja huko akanitumia picha yake nikamkumbuka ni x wangu wa o level bana miaka hiyoooo!! Tukachart akaniambia kaolewa ana watoto wawili na mmewe wanaishi nje ya mji.
Sasa ktk charting za hapa na pale akasema anahitaji tuonane aone ka nimekuwa mbaba maana au bado namwili mdogomdogo
Leo sijatoka nilikuwa najisikia vibaya hivyo biashara kaenda fungua mdogo wangu.
Asubuh tukachart kdg nikamwambia naumwa akauliza napokaa nikamtajia ghafla kimya
Baada ya saa nzima akanipigia kafika nimwelekeze kwangu basi nikamwelekeza akaja nikamfungulia akaingiza gari.
Akadai amekuja kunipa pole ila maongez mengi akawa ni sifa za hapa na pale tunapeana maana na yeye kapendeza ana chura flan amazing na ngozi imekuwa ya mtume sijui ndo dela cream ya ditector Joan
Kwakweli tangu anaingia nimejiapiza moyoni sili mzigo maana ni mke wa mtu ila kilichotokea sijui ila mpaka sasa tuko kwa bed tunajiandaa kuingia round ya tatu
Dah!! Naomba god anisamehe sikupanga
Niweke picha ili uamini?Tukila sisi mabeki tatu kelele nyingi ooh huna adabu! toka kwangu! vijana wa siku hizi mmeharibika sasa sijui nyie wakubwa mmefanyeje..?
ila story yako mwishoni ina asilimia kadhaa za kuonyesha uongo!
Watamu hao balaa,hawana longolongo wala gharama[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]