Leo nimejitoa mhanga.

Chiwaso

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2009
Posts
5,726
Reaction score
3,778
Mungu ndio anajua hali niliyokuwa nayo wakati nasuburia majibu ya kipimo hiki.

Ila, nina furaha ya ajabu baada ya kupata matokeo haya.

Wenye gut, karibuni tujue status zetu. Sio mpaka msubiri kupimwa kwa lazima na kaka mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa salama kabisa karibu CHAPUTA hakika utajutia wala hautakuwa na wasiwasi wa maisha yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…