Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,726
- 3,778
Mungu ndio anajua hali niliyokuwa nayo wakati nasuburia majibu ya kipimo hiki.
Ila, nina furaha ya ajabu baada ya kupata matokeo haya.
Wenye gut, karibuni tujue status zetu. Sio mpaka msubiri kupimwa kwa lazima na kaka mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila, nina furaha ya ajabu baada ya kupata matokeo haya.
Wenye gut, karibuni tujue status zetu. Sio mpaka msubiri kupimwa kwa lazima na kaka mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app