komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Iyeeeeeeeeeaa!!![emoji308]harusi ni lini...Iyeeeeeeaaa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iyeeeeeeeeeaa!!![emoji308]harusi ni lini...Iyeeeeeeaaa!!
Lathimore...unaeza jitafutia mmoja umnyan***e na wewe piaHahahaha Mmmh
Cheki bao la kiume hilo...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Kisa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usifanye nikakiurupue na panga kijirani changu kikenya cha KCB usiku huu,tusitafutane ubaya jamani ohooooo
Uzi wa kindezi kama huuKisa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole bana...si kupenda kwako...ni maumivu tu ndio yanakupelela vibaya...punguza jazba kwanza[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️gooooooooooooooooaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal!!!!!Uzi wa kindezi kama huu
Halafu ungejua aliye lose ni Bashite na CCM yake na wala si watanzania wala usingejichosha hapa, mimi nagombana na xenophobia wala si hii mechi yenu na Bashite hebu nipishe sipo kwenye mpira kabisa usinitoe kwenye reliPole bana...si kupenda kwako...ni maumivu tu ndio yanakupelela vibaya...punguza jazba kwanza[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️gooooooooooooooooaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal!!!!!
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]leo tumewalamba kishenzi...kumbe zile mbio za sakafuni tu...mnatangulia n km njia mnaijua...kumbe mtakuja simama mtungoje tuwaonyeshe...nyangau kawaonyesh longway halafu yeye katumia panya...Halafu ungejua aliye lose ni Bashite na CCM yake na wala si watanzania wala usingejichosha hapa, mimi nagombana na xenophobia wala si hii mechi yenu na Bashite hebu nipishe sipo kwenye mpira kabisa usinitoe kwenye reli
Serekali ilikua inataka tu ipate uhakika kua Kama ni kwel ili iamuru raia wake waishio Kenya warudi tu tz , ili msiwadhuru maana nyie wakenya mmeshaambukizwa ualishabab maana mna roho mbaya Sana , mnabaguana wenyewe Sasa wengine mtashndwaje kuwabagua,Sio eti nakubaliana na Jaguar maana Wabunge nui watu wa kuropokwa ovyo ila jambo ndogo kama hilo Wabongo wameijadili hadi wamesummon Ambassador wa Kenya kwao ajibu maswali. Cha kushangaza nchi zingine zimelipuuza jambo hilo kama kitu kisicho na maana. Wabongo ndio wanaosumbuliwa tu. Kweli Wabongo wanaitamani Kenya. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haha Hapo sasa,Thats whats am Planning[emoji12] [emoji85] [emoji1]Lathimore...unaeza jitafutia mmoja umnyan***e na wewe pia