STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Katika uwanja wa vita, askari STUNTER nilijiandaa vyema
kwenda kumrudisha rafiki yangu aliyekuwa kaumizwa
vibaya sana kwa risasi na aliyekuwa kaanguka
umbali kidogo kutoka tulipo.
Captian akaniambia,“ STUNTER Huna hata haja ya
kwenda kumchukua kwani lazima afe tu hata kabla ya matibabu kwani kaumia vibaya” Lakini mimi
niliendelea kwenda kumfuata rafiki yangu na Captain
alipofika karibu yangu akaona yule askari
akiwa keshakufa. Captain akaniambia
“Nilikuambia lazima atakufa tu” ndipo nilipomjibu
Captain kwa macho ya ushujaa: “Hapana Mkuu, Limekuwa jambo la faraja kwangu….....Kwani nilipo
mkaribia, rafiki aliponiona akatabasamu na kusema
maneno yake ya mwisho kabla ya kukata roho:
“Nilijua tu lazima unifuate, Asante rafiki yangu wa
kweli na kwaheri……"
Funzo
Ukipata rafiki anayekujali, kukupenda, kukuthamini,
na kukuheshimu kamwe usimwache aende zake
kwani maumivu yake huwa hayaponi kamwe. Ni
ushujaa kuwa na wale tunaowajali na
kuwapigania mpaka tone la mwisho...
R.I.P
Fella...
kwenda kumrudisha rafiki yangu aliyekuwa kaumizwa
vibaya sana kwa risasi na aliyekuwa kaanguka
umbali kidogo kutoka tulipo.
Captian akaniambia,“ STUNTER Huna hata haja ya
kwenda kumchukua kwani lazima afe tu hata kabla ya matibabu kwani kaumia vibaya” Lakini mimi
niliendelea kwenda kumfuata rafiki yangu na Captain
alipofika karibu yangu akaona yule askari
akiwa keshakufa. Captain akaniambia
“Nilikuambia lazima atakufa tu” ndipo nilipomjibu
Captain kwa macho ya ushujaa: “Hapana Mkuu, Limekuwa jambo la faraja kwangu….....Kwani nilipo
mkaribia, rafiki aliponiona akatabasamu na kusema
maneno yake ya mwisho kabla ya kukata roho:
“Nilijua tu lazima unifuate, Asante rafiki yangu wa
kweli na kwaheri……"
Funzo
Ukipata rafiki anayekujali, kukupenda, kukuthamini,
na kukuheshimu kamwe usimwache aende zake
kwani maumivu yake huwa hayaponi kamwe. Ni
ushujaa kuwa na wale tunaowajali na
kuwapigania mpaka tone la mwisho...
R.I.P
Fella...