Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Oooh mimi sio RachelHumu humu jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh mimi sio RachelHumu humu jf
Kwa kweli wengi yanawachapa sana, hahahaThat's why wanaume wa jf wako harsh mda wote,, kumbe nyuma ya keyboard mambo si mambo,, poleni sana.
ndo hasira mmalizie kwetu wajameniKwa kweli wengi yanawachapa sana, hahaha
tatizo ni kutojua wapi pa kuweka focus zao.
Kama kajitahidi sana, utakuta ana ki nyumba cha vyumba vitatu na harrier tako la nyani.Kwa hiyo sasa hivi yupo wapi na ni milionea, bilionea ,au trilionea
Waulize hao, mimi hayanichapi. Priorities zangu zipo kwingine kabisa.ndo hasira mmalizie kwetu wajameni
unafkiri nmesahau ile sku ya kwanz ulinivamia kibabe 🤣😆 nilkua nmecoment uzi fulani iviWaulize hao, mimi hayanichapi. Priorities zangu zipo kwingine kabisa.
Hahaha, enzi hizo sijakuzoea. Ila hata kama ni kutofautiana basi nadhani ni sababu ya mawazo tofauti tu ila sio sababu wanawake wananiumiza. I am happiest man ikifika kwenye maswala hayo, sina mwanamke anayenishupaza mishipa ya shingo in real life. Hahaunafkiri nmesahau ile sku ya kwanz ulinivamia kibabe 🤣😆 nilkua nmecoment uzi fulani ivi
aloooh ulinivamia bila hata kukukosea maskin,, nashukuru kwasasa nmejifinza jinsi ya ku lower temperHahaha, enzi hizo sijakuzoea. Ila hata kama ni kutofautiana basi nadhani ni sababu ya mawazo tofauti tu ila sio sababu wanawake wananiumiza. I am happiest man ikifika kwenye maswala hayo, sina mwanamke anayenishupaza mishipa ya shingo in real life. Haha
😂😂😂ukiendelea na hiyo tabia soon nitakufungulia uzi.Oooh mimi sio Rachel
Nisamehe dada yangu, ushakuwa ndugu yangu sasa. Nimejifunza sasa, sitovamia watu tena. Wanaweza kuwa rafiki zangu wa badae.aloooh ulinivamia bila hata kukukosea maskin,, nashukuru kwasasa nmejifinza jinsi ya ku lower temper
unanitisha au unaniambia,,kwanza unaongelea tabia gani hio😎🤏🏾😂😂😂ukiendelea na hiyo tabia soon nitakufungulia uzi.
woooiii nilishakusamehe toka siku ile ile,, ndoman hata ulipo ni quote tena nilikujibuNisamehe dada yangu, ushakuwa ndugu yangu sasa. Nimejifunza sasa, sitovamia watu tena. Wanaweza kuwa rafiki zangu wa badae.
Ndugu yangu katika bwana, Nashukuru sana.woooiii nilishakusamehe toka siku ile ile,, ndoman hata ulipo ni quote tena nilikujibu
Amina sana,,, hujamboNdugu yangu katika bwana, Nashukuru sana.
Haha basicaly hutoweza kumsahau kabisa because mna watoto lakin pia ni mtu amba moishare nae maisha, it good that umejifunza kuishi nalo. Keep movingmiaka 5 nyuma nilipatwa na hiki kisa, sijui huwa kuna nini kinatokea kwa wenzetu naweza kusema alikuwa mke kabisa maana kwao walinifahamu posa na mahari nilishamaliza na watoto wawili nimemzalisha sasa kipindi chote hicho alikuwa anafanya shughuli ndogondogo tu..
sasa ikatokea fursa sehemu nikamwambia mama kwa haya maisha tunayoishi itachukua muda kutoboa hapa ebu kamatia iyo fursa ya kazi tusaidizane bwana bwana bwana kumbe ndio nilikuwa namaliza familia yangu wakuu kitendo cha yeye kupata ile kazi tu na vile nilimtumia mtu ninayemjua ilikuwa rahisi sana kwake kutoboa..
picha linaanza kwanza amepangiwa mkoani akili ikacheza mmh nikiwa nipo kwenye dilema ya maamuzi kwao wakawa wapo karibu nae zaidi na wakamwambia aende huko kwa kuwa watoto bado wadogo waende kwa bibi yao yaani mama yake hadi mambo yatakapokuwa sawa kule then awachukue.
basi mwezi ukaisha mwezi wa pili mara miezi sita nikaanza kuona mapicha picha kwanza sikuwahi kuona hela yake ingawa alikuwa analipwa mara 4 ya mshahara wangu bado nilitakiwa kutuma pesa ya matumizi kwangu hakuwa shida maana naelewa mwanaume ndio mtunza familia kifedha..
alifanikiwa kurudi kipindi cha mwanzo mwanzo tu tena akaniletea nyodo hatari stori zake sasa ooh mwaka huu nanunua gari sijui wewe umeshindwa hiki na kile nikitaka tunda anajivutaa nikajisemea hii ngoma ndio imeshavuja hapa...kwakweli haikufika hata mwaka tukabwagana.
hakuna kipindi nilikonda kama kipindi kile full mawazo alafu ndugu zake wananichora tu kenge wale!
ilibaki kidogo nidondoke nifeee!
kuna mama mmoja mtu wa makamo akanifuata na kuniweka chini kisha akanipa ushauri mmoja wa nguvu sana akaniambia kijana wangu usiwe mnyonge hivyo tafuta mwanamke mdogo na mzuri kuliko mkeo then furahia maisha haya maisha ni mafupi sana na utamsahau.
kwa kweli namshukuru sana yule mama maana from there maisha yalibadilika taratibu nilianza kumsahau yule mwanamke na mambo yake ingawa bado muda mwingine naumia ila ndio maisha isee
tuishi nao kwa akili!
Sijambo, was sick ila naendelea vizuri sasaAmina sana,,, hujambo
na wakubwa hua mnaumwa mweeeee,,, pole sanaSijambo, was sick ila naendelea vizuri sasa
nikifungua uzi kila kitu kitajieleza humounanitisha au unaniambia,,kwanza unaongelea tabia gani hio😎🤏🏾