Leo nimekumbuka namna mpenzi/ mama wa watoto wangu alipoanza kunishinda kipato baada ya kupata kazi kila kitu kikaparaganyika

unafkiri nmesahau ile sku ya kwanz ulinivamia kibabe 🤣😆 nilkua nmecoment uzi fulani ivi
Hahaha, enzi hizo sijakuzoea. Ila hata kama ni kutofautiana basi nadhani ni sababu ya mawazo tofauti tu ila sio sababu wanawake wananiumiza. I am happiest man ikifika kwenye maswala hayo, sina mwanamke anayenishupaza mishipa ya shingo in real life. Haha
 
aloooh ulinivamia bila hata kukukosea maskin,, nashukuru kwasasa nmejifinza jinsi ya ku lower temper
 
Haha basicaly hutoweza kumsahau kabisa because mna watoto lakin pia ni mtu amba moishare nae maisha, it good that umejifunza kuishi nalo. Keep moving
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…