sawa fungua hata mimi nasubir kwa hamu,, seems unanfaham sana mdau wa jeyiefu πnikifungua uzi kila kitu kitajieleza humo
Asante, kila binadamu anaumwa bhn.na wakubwa hua mnaumwa mweeeee,,, pole sana
sawa mheshimiwa,,ugua poleAsante, kila binadamu anaumwa bhn.
be prepared....i know u vereweresawa fungua hata mimi nasubir kwa hamu,, seems unanfaham sana mdau wa jeyiefu π
Nothing to be prepared for,coz I'm ready to attack anyone who........................,,, even right now ππ€πΎI
be prepared....i know u verewere
Atakuwa na story ndefu sana ya kuelezeaWanaume tunapitia mengi.
Hongera kwa kumsahau.
Mshikaji wangu yeye alilishwa sumu na mke wake.
Ilibaki kidogo tumpoteze mwamba. Engineer kabisa.
Washukuriwe madokta wa pale Aghakan.
Waliokoa maisha ya mshikaji last minute kabisa.
Leo nimemwona jamaa nikakumbuka aliwahi kuchungulia kifo live live
Weee eti niniNothing to be prepared for,coz I'm ready to attack anyone who........................,,, even right now ππ€πΎ
ngoja tusubiriWeee eti nini
πNasubiri niwe wa mwisho ku comment kwny uzi huu na kilichotokea kwa yf yy kalikua ka kaz ka kulipwa lak 3 tu wajameni
Mpendwa wana stress mingi mingi sanaThat's why wanaume wa jf wako harsh mda wote,, kumbe nyuma ya keyboard mambo si mambo,, poleni sana.
wanahitaji faraja kubwa sanaMpendwa wana stress mingi mingi sana
Nimeipenda hiiMara nyingi viashiria huwa tunaviona toka mwanzo kabisa wa mahusiano ila huwa tunavipotezea.
For the sake of love or beauty .
Muwe mnatuelewa tu yaan π€£π€£wanahitaji faraja kubwa sana
mi hua nawaelewa sana mbona sjui wenzanguMuwe mnatuelewa tu yaan π€£π€£
Dah hao ndugu zako wametisha sana aisee,hasa huyo aliyejifanya mendeHaya mambo haya yanapendeza kusimuliwa tu hivi kwa wenzako......usiombe yakukute......ni mazito...............
Mdogo wangu nakumbuka yalipomkuta alikuwa anashinda chooni kutwa kama mende......hata chakula hali anasema hakina ladha.......
Ila mapenzi hayana baunsa......ukiwa hujaingia kwenye kumi na nane unaweza ukaongea mengi sana ya kejeli na dharau........
Baba yangu mdogo alikuwa anaongea sana shombo.....siku aliyokimbiwa na mkewe ndio nikajua haya mambo hayana mwenyeji......
Alikuwa anashinda ukweni anaomba msamaha mpaka usiku analala kibarazani kama mlinzi........dah!!
Haya mambo haya.....huwa yanaanza kama utani vile.....
Wee sema kweli bhanaami hua nawaelewa sana mbona sjui wenzangu