Leo nimemeshangaa sana kwamba Dada poa Marekani ni shilingi laki 7, Tanzania tukae kwa kutulia

Leo nimemeshangaa sana kwamba Dada poa Marekani ni shilingi laki 7, Tanzania tukae kwa kutulia

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Nimeshangaa sana hii ishu na huenda ndio maana wamarekani huwa wanalia sana ukiendekeza wanawake unafilisika.

Yaani kununua dada poa ni dola 300 (Tshs laki 7 na nusu), ukiomba upunguziwe na kakuelewa labda 250 (Tshs laki 6 na 20), ukilia sana basi iwe walau short time basi 200 (Tshs laki 5 )

Hebu vuta picha tu kwa wale ambao kwa wiki wananunua mara 4, yaani ni takribani milioni 3 kwa wiki inakatika, Sio mchezo aisee.

Huku kwetu tukae kimya tu nimeona leo mtu analalamika kwamba mikoani bei za ugeni anapigwa 20.
 
Akili huna kabisa ...Una Google ujinga na kuja kujaza server .
Next time utakuja sema unashangaa nini !?
Bei ya mkate Marekani elfu 12?

Au bei ya kinyozi elfu 40???
usie na akili ni wewe uliekuja ku comment kwenye mambo unayoona hayakuhusu, nenda jukwaa la great thinkers sio kufatilia uzi wa kula kimasihara kila muda
 
Nimeshangaa sana hii ishu na huenda ndio maana wamarekani huwa wanalia sana ukiendekeza wanawake unafilisika,

Yaani kununua dada poa ni dola 300 (Tshs laki 7 na nusu), ukiomba upunguziwe na kakuelewa labda 250 (Tshs laki 6 na 20), ukilia sana basi iwe walau short time basi 200 (Tshs laki 5 )

Hebu vuta picha tu kwa wale ambao kwa wiki wananunua mara 4, yaani ni takribani milioni 3 kwa wiki inakatika, Sio mchezo aisee.

Huku kwetu tukae kimya tu nimeona leo mtu analalamika kwamba mikoani bei za ugeni anapigwa 20,
Nisaidie kuulizia bei ya Thailand
 
Nimeshangaa sana hii ishu na huenda ndio maana wamarekani huwa wanalia sana ukiendekeza wanawake unafilisika,

Yaani kununua dada poa ni dola 300 (Tshs laki 7 na nusu), ukiomba upunguziwe na kakuelewa labda 250 (Tshs laki 6 na 20), ukilia sana basi iwe walau short time basi 200 (Tshs laki 5 )

Hebu vuta picha tu kwa wale ambao kwa wiki wananunua mara 4, yaani ni takribani milioni 3 kwa wiki inakatika, Sio mchezo aisee.

Huku kwetu tukae kimya tu nimeona leo mtu analalamika kwamba mikoani bei za ugeni anapigwa 20,
Mkuu kuna kitu ambacho hujakijua kuhusu purchasing power ya USD ukiwa US usiilinganishe moja kwa moja na thamani ya hela ya nchi nyingine (hususan Tanzania). Kazi ya kibarua kwa saa Marekani ni hadi USD 30 kwa saa. Ikiwa na maana ni takribani Tsh. 75,000/= kwa saa. Ukifanya masaa 10 kwa siku ina maana umeingiza 750,000/= kwa siku. Sasa kama uelewi hali halisi ya maisha ya marekani ukaanza kulinganisha na bongo utadhani hiyo ni hela kubwa kumbe si chochote! Katika hiyo hela ukitoa kodi ya nyumba, usafiri, bills za maji, umeme, afya, simu, chakula, (au uamue useme ebu nikapate kinywaji sehemu nzuri, n.k) n.k. utajikuta huna kitu au kama huko smart unaweza kufanya savings lakini si kivile kukufanya utajirike! Kwahiyo, acha kabisa kulinganisha hali ya maisha ya USA na bongo!
 
usie na akili ni wewe uliekuja ku comment kwenye mambo unayoona hayakuhusu, nenda jukwaa la great thinkers sio kufatilia uzi wa kula kimasihara kila muda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeshangaa sana hii ishu na huenda ndio maana wamarekani huwa wanalia sana ukiendekeza wanawake unafilisika,

Yaani kununua dada poa ni dola 300 (Tshs laki 7 na nusu), ukiomba upunguziwe na kakuelewa labda 250 (Tshs laki 6 na 20), ukilia sana basi iwe walau short time basi 200 (Tshs laki 5 )

Hebu vuta picha tu kwa wale ambao kwa wiki wananunua mara 4, yaani ni takribani milioni 3 kwa wiki inakatika, Sio mchezo aisee.

Huku kwetu tukae kimya tu nimeona leo mtu analalamika kwamba mikoani bei za ugeni anapigwa 20,
Wanalipa Kodi zote
 
Dalla kibongobongo ni pesa.

Kuna jamaa katua dar anakula bata mwezi huu
 
Nimeshangaa sana hii ishu na huenda ndio maana wamarekani huwa wanalia sana ukiendekeza wanawake unafilisika.

Yaani kununua dada poa ni dola 300 (Tshs laki 7 na nusu), ukiomba upunguziwe na kakuelewa labda 250 (Tshs laki 6 na 20), ukilia sana basi iwe walau short time basi 200 (Tshs laki 5 )

Hebu vuta picha tu kwa wale ambao kwa wiki wananunua mara 4, yaani ni takribani milioni 3 kwa wiki inakatika, Sio mchezo aisee.

Huku kwetu tukae kimya tu nimeona leo mtu analalamika kwamba mikoani bei za ugeni anapigwa 20.
Chai
 
Back
Top Bottom