Leo nimemeshangaa sana kwamba Dada poa Marekani ni shilingi laki 7, Tanzania tukae kwa kutulia

Leo nimemeshangaa sana kwamba Dada poa Marekani ni shilingi laki 7, Tanzania tukae kwa kutulia

Dogo wamekudanganya, mbususu Marekani ni bure, ukitaka kulipa kuna wale wa escort utalipa bei ya kununua nyumba bongo, ila ukitaka zile za streets addicts zilizojaa UTI na gono utapata kwa 30$, ila umalaya US ni illegal kuwa makini watakufunga labda Vegas
 
Mkuu life la Us,Uk...ni tofauti na huku afrika hasa kwenye bei za bidhaa na huduma,so usd 700 hata kodi ya mwezi haitoshi.
 
Mkuu kuna kitu ambacho hujakijua kuhusu purchasing power ya USD ukiwa US usiilinganishe moja kwa moja na thamani ya hela ya nchi nyingine (hususan Tanzania). Kazi ya kibarua kwa saa Marekani ni hadi USD 30 kwa saa. Ikiwa na maana ni takribani Tsh. 75,000/= kwa saa. Ukifanya masaa 10 kwa siku ina maana umeingiza 750,000/= kwa siku. Sasa kama uelewi hali halisi ya maisha ya marekani ukaanza kulinganisha na bongo utadhani hiyo ni hela kubwa kumbe si chochote! Katika hiyo hela ukitoa kodi ya nyumba, usafiri, bills za maji, umeme, afya, simu, chakula, (au uamue useme ebu nikapate kinywaji sehemu nzuri, n.k) n.k. utajikuta huna kitu au kama huko smart unaweza kufanya savings lakini si kivile kukufanya utajirike! Kwahiyo, acha kabisa kulinganisha hali ya maisha ya USA na bongo!
Umemaliza kila kitu, sina cha kuongezea.
 
Back
Top Bottom