Leo nimemfumania live bila chenga

Duh pole sana, ndio tulivyo aiseeee. usijali utaenda mwenyewe kumuomba mrudiane tena, muda ni mwamuzi mwema
mmmh yaani mm ndio nkamuombe turudiane tena!!! impossible
 
mmmh yaani mm ndio nkamuombe turudiane tena!!! impossible
Nilichokisema ni ukweli mtupu, utarudi umuombe msamaha. Sie tupo ila pia labda kama na wewe ulikua una mahali pa kupunguzia mambo yako. Haya mambo yapo tu na yanasameheka kama kweli una future naye.
 
Nlizan Wanaume Ndo Tunaumia Tukifumania.Kumbe Wanawake Wanaumia?Me Nlizani Tukiwanyima Pesa Ndo Maumivu.Dah Wanawake Wengi Wanapenda Hela Sana Asee
 
Kama unampenda endelea nae utaachana na wangap na siku hizi usaliti tunafanya kama fashen cha muhimu mwambie akuelekeze udhaifu wako ili ujipange
 
Huyo mdada uliye mkuta nampenda mno kama vipi hebu nipe namba yake
 
Wanaume ndo walivyo hawatoshek muombe Mungu utampata mwaminfu pole sana
 
Wanaume ndo walivyo hawatoshek muombe Mungu utampata mwaminfu pole sana

Wanawake ndo wanatosheka?
Hii tabia yenu ya kujifanya innocent muache maana wanawake wengi tu hamjatulia
 
Chagua Moja

1. Haaujiwezi Kitandani
2. Una attitude mbovu towards mshikaji
3. Umebetweka na you are acting like his Mom and not girlfriend.
4. Mtu wa ku-complain kila saa
5. Haujui kuvaa na kupendeza
6. Mmbea, Mgomvi au mbinafsi

Na vijisababu vingine vingi hupelekea Mwanaume kuangalia alternative nyingine.

Kabla ya kumuangushia mzigo wote wa lawama embu kaa chini na wewe ujiangalie. Sio lazima uwe kikojozi ndio utendwe
 

Nikweliii
 
Kuna siku nilimwambia mdogo wangu, kama hautaki karaha usijihusishe kabisa na mambo ya mahusiano iwe mapenzi au ndoa. Ukiamua tu kuingia kwenye hii tasnia, hayo yategemee japo sio kwa wote. Pole sana
Inawezekana lakini ngumu..
 

Haturidhiki!!? Kwani sisi ndo tuliokuwa tunaku do? Mkome maana mwanaume ambaye hana kazi hata akikupenda vipi hamna time nao. Tena yule dada alitakiwa atoke uchi chumbani uone alivyomegwa vizuri. Mimi kabla maisha hayajaniendea vizuri nilifanyiwa hivyohivyo na mwanamke mwezako sasa nikuulize na nyinyi hamridhiki?
 
Pole bibie
 
Mlirudiana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…