Leo nimemfumania live bila chenga

Leo nimemfumania live bila chenga

99% ya wanaume wanakazi za nje ni bora ubaki na huyo unayemjua anagalau utaweza kudeal nae kuliko kwenda kumsubilia usiemjua, bahati mbaya udondokee kwangu mbona utafurahi!
 
Kama kuna wanaume wa kiafrika hawaibi luti basi ni 1 katika 100. hili mabinti mlijue.

Mambo yameharibika cku hzi wanawake nao wanachepuka balaa. Kwanza wanaume wengi mashine zao haziwaki zaidi ya dk 5 kwahyo wanawake nao wanahangaika kutafuta mashine bomba...
 
Habari wana MMU,

Nina mpenzi wangu ambaye tuna muda kidogo. Hapa kati niligundua anachepuka baada ya kuona msg kwenye simu yake,nilipomuuliza akakataa katakata na ugomvi juu nkajishusha yakaisha but moyoni mwangu nlikua namchunguza kimya kimya.

Kwa kawaida huwa tunapitiana asbh kwenda kazini kwan ofisi zetu zipo karibu, basi Leo nimeenda kama kawa nikagonga but hakufungua ila nilisikia movement ndani ameamka akawasha gesi na kubandika Maji ya kuoga basi nikajua atafungua mlango, nikaona kimya ila machale yakanicheza nikapanga kukaa nje mpaka nione mwisho, simu zangu nikaweka silent baada ya dk 40 hivi nikasikia sauti ya mwanamke ndani kumbe ndo alikua anamwandalia maji.

Ile kufungua mlango akakutana na macho yangu makavu nikamsalimia nikaingia chumbani nikamsalimia binti nikarudi kukaa sebuleni, bidada akanikaribisha kwa adabu zote nikamwambia apumzike tu asijali, kaka katoka kuoga anajishaua kuniuliza eti kwanini sijaenda kazini nimesimama tu nje m sikumjibu ktu akaingia rum kuvaa mi nimekaa tu sebuleni.

Sikutaka ugomvi kiukweli coz najijua hasira zangu ningechoma mtu kisu bure, basi bidada akavaa nguo huyo akaondoka na akaniaga eti Dada bye nikamwambia ok karibu tena! Alipoondoka nikamuuliza is it me or her akakosa jibu, nikaondoka zangu!

Now msg kibao za maelezo mimi sijajibu hata moja, hivi wanaume kwanini hamtosheki jamani? Bora nibaki single tu kuliko kuleteana magonjwa

Nicheki inbox mimi nakuapia ntatosheka kabisa na mavituz yako na wala sintochepuka
 
Mm wa kwangu niliwahi kumfumania live lakini ckugombana nae nilimrecord wkt wanafanya mambo yao just ushahidi2 then nikaondoka kesho yke nikamwita friendly nikamwambia all story afu uamuzi wngu ukawa nimekusamehe...trust m alikua kama crazy yani mpaka nilimuonea huruma ana nitreat like am his father...msamehe with no condition....mapenzi bana ukisema ufwate principle utajikuta unaishi Peke ako ni kuvumiliana2 kila mtu ana malezi yke
 
Habari wana MMU,

Nina mpenzi wangu ambaye tuna muda kidogo. Hapa kati niligundua anachepuka baada ya kuona msg kwenye simu yake,nilipomuuliza akakataa katakata na ugomvi juu nkajishusha yakaisha but moyoni mwangu nlikua namchunguza kimya kimya.

Kwa kawaida huwa tunapitiana asbh kwenda kazini kwan ofisi zetu zipo karibu, basi Leo nimeenda kama kawa nikagonga but hakufungua ila nilisikia movement ndani ameamka akawasha gesi na kubandika Maji ya kuoga basi nikajua atafungua mlango, nikaona kimya ila machale yakanicheza nikapanga kukaa nje mpaka nione mwisho, simu zangu nikaweka silent baada ya dk 40 hivi nikasikia sauti ya mwanamke ndani kumbe ndo alikua anamwandalia maji.

Ile kufungua mlango akakutana na macho yangu makavu nikamsalimia nikaingia chumbani nikamsalimia binti nikarudi kukaa sebuleni, bidada akanikaribisha kwa adabu zote nikamwambia apumzike tu asijali, kaka katoka kuoga anajishaua kuniuliza eti kwanini sijaenda kazini nimesimama tu nje m sikumjibu ktu akaingia rum kuvaa mi nimekaa tu sebuleni.

Sikutaka ugomvi kiukweli coz najijua hasira zangu ningechoma mtu kisu bure, basi bidada akavaa nguo huyo akaondoka na akaniaga eti Dada bye nikamwambia ok karibu tena! Alipoondoka nikamuuliza is it me or her akakosa jibu, nikaondoka zangu!

Now msg kibao za maelezo mimi sijajibu hata moja, hivi wanaume kwanini hamtosheki jamani? Bora nibaki single tu kuliko kuleteana magonjwa

daah pole sanaaa nakusih endelea kupiga kimyaa ivyo ivyo usijib msg wala coL zake@nakupa week@ moja tu atarud anaLia mwenyew
 
Habari wana MMU,

Nina mpenzi wangu ambaye tuna muda kidogo. Hapa kati niligundua anachepuka baada ya kuona msg kwenye simu yake,nilipomuuliza akakataa katakata na ugomvi juu nkajishusha yakaisha but moyoni mwangu nlikua namchunguza kimya kimya.

Kwa kawaida huwa tunapitiana asbh kwenda kazini kwan ofisi zetu zipo karibu, basi Leo nimeenda kama kawa nikagonga but hakufungua ila nilisikia movement ndani ameamka akawasha gesi na kubandika Maji ya kuoga basi nikajua atafungua mlango, nikaona kimya ila machale yakanicheza nikapanga kukaa nje mpaka nione mwisho, simu zangu nikaweka silent baada ya dk 40 hivi nikasikia sauti ya mwanamke ndani kumbe ndo alikua anamwandalia maji.

Ile kufungua mlango akakutana na macho yangu makavu nikamsalimia nikaingia chumbani nikamsalimia binti nikarudi kukaa sebuleni, bidada akanikaribisha kwa adabu zote nikamwambia apumzike tu asijali, kaka katoka kuoga anajishaua kuniuliza eti kwanini sijaenda kazini nimesimama tu nje m sikumjibu ktu akaingia rum kuvaa mi nimekaa tu sebuleni.

Sikutaka ugomvi kiukweli coz najijua hasira zangu ningechoma mtu kisu bure, basi bidada akavaa nguo huyo akaondoka na akaniaga eti Dada bye nikamwambia ok karibu tena! Alipoondoka nikamuuliza is it me or her akakosa jibu, nikaondoka zangu!

Now msg kibao za maelezo mimi sijajibu hata moja, hivi wanaume kwanini hamtosheki jamani? Bora nibaki single tu kuliko kuleteana magonjwa

Pole dada, kama ulimuuliza kumake choice kati yako au yule mwingine akasita changanya na zako tu coz they say dont allow a man to say he doesnt love u matendo yanatosha kukuelezea hilo..
 
Zama hizi hakuna mwanaume wa peke yako labda mume aliye jitoa kweli kweli.Kama ni mpenzi tu itabidi uwe mpole kama vipi na wewe tafuta kipoozeo ule zako raha kimya kimya wakati unaendelea kumsubiri mwana atangaze ndoa.Exclusive/monogamy relationship naona zinapitwa na wakati taratibu.
 
Aisee usikae nalo moyoni. Mtafute myaongee. Kila ndoa ina majaribu, saidianeni kuyashinda
 
winlicious usitaarabu uliouonyesha umenifanya niwaze kukugonga ili ulipize kisasi! Ni PM.
 
Last edited by a moderator:
Duh pole sana, ndio tulivyo aiseeee. usijali utaenda mwenyewe kumuomba mrudiane tena, muda ni mwamuzi mwema
 
Back
Top Bottom