H Hziyech22 JF-Expert Member Joined Jun 8, 2019 Posts 15,351 Reaction score 21,362 Jul 12, 2020 #41 Yoda said: Shobo ni nini kwako? Click to expand... Swali zuri akikujibu nitag
DanbyHR JF-Expert Member Joined Sep 30, 2014 Posts 285 Reaction score 391 Jul 12, 2020 #42 Uzi bila picha bado haujakamilika.
chukuachako JF-Expert Member Joined Nov 13, 2014 Posts 1,209 Reaction score 817 Jul 12, 2020 #43 Kisalilo said: Bora konde kakataa utumwa Click to expand... Huyu si ni mtia nia wa Tandahimba
J jinola hamza JF-Expert Member Joined Jul 25, 2015 Posts 657 Reaction score 441 Jul 12, 2020 #44 Hahahaha bando za bure bwana ..uyo kibamia hama jipya ... shobo gani hajaonyesha ??
Kigoma Independent JF-Expert Member Joined Dec 18, 2017 Posts 3,519 Reaction score 2,055 Jul 12, 2020 #45 Mpanda nyangobe said: Leo Dodoma kwenye kikao cha CCM wasanii karibia wote walikuwepo ukumbini. Karibia wote walikuwa wamevalia jezi za CCM..Isipokuwa King Kiba, japo katumbuiza ila hakutaka kuvaa jezi ya CCM.. kama yule mtandale ambaye alitupia li suti la kijani kabisa Click to expand... Kwenda tu pale ni SHOBO IN MAMBA OIL CHAFU VOICE.
Mpanda nyangobe said: Leo Dodoma kwenye kikao cha CCM wasanii karibia wote walikuwepo ukumbini. Karibia wote walikuwa wamevalia jezi za CCM..Isipokuwa King Kiba, japo katumbuiza ila hakutaka kuvaa jezi ya CCM.. kama yule mtandale ambaye alitupia li suti la kijani kabisa Click to expand... Kwenda tu pale ni SHOBO IN MAMBA OIL CHAFU VOICE.