Leo nimemuota Magufuli Amekufa, usiku wa kuamkia leo, Nikafadhaika sana. Hii maana yake nini?

Kwa kawaida ndoto ambazo zinaonekana 'negative' huwa maana yake ni 'positive' na zinahusu jambo fulani katika maisha au tabia yako wewe. Fasili mojawapo inaweza kuwa kuna jambo ambalo lilikuwa likikusumbua sana katika akili au maisha yako, ambalo hatimaye umepata ufumbuzi wake. Ndoto kama hizi hutokea mara nyingi kwa watu unaowapenda au unaowa'admire': mfano, wazazi, watoto wako unaowapenda sana, mume/mke wako, ndugu wa karibu ambao ni msaada mkubwa kwako au kwa familia yako, rafiki wa karibu, mwalimu unayemheshimu sana, nk. Hivyo, kuwa na amani kabisa!
 
Hii ndoto yako sio bure......
Ina ujumbe mkubwa
 
Mzee Mngl, hatakufa kwa Jina La Yesu. Huo mfumo unaoua watu wa aina moja, kwa jina la magonjwa ya kupumua, moyo, mapafu ama jina lingine lolote naulaani kwa Jina la Yesu. Na yeyote au muungano wowote aliye kwenye hiyo mfumo, inayoondoa watu wa kundi moja kwa kisingizio chochote, awe ni ufalme, awe ni jini, awe people, awe fallen angel, awe mamlaka, awe mzimu, awe kitabu,, awe nguvu, awe nyota, awe kiumbe chochote, cha namna yoyote, kwa cheo chake, kwa jina lake, kwa ukoo wake, kwa tabia zake, kwa rangi yake, kwa asili yake, kwa mwonekano wake, kwa muundo wake, ama vyoyote vile alivyo, nina create confusion kwenye kambi yenu katika Jina la Yesu. Nina paralyise mifumo na utendaji kazi wenu katika Jina la Yesu.

Ninagiza malaika wa Mungu walio na mimi na wowote walioko kwenye assignment ya Ki Mungu ya kupambana na roho hizi chafu zifanyazo kazi haribifu kwa siri na kujificha, roho zifanikishazo uharibifu wa kishetani nikisema hivi" Malaika, niliowaataja hapo juu, enendeni katika maeneo yote, yawe chini ya Bahari, yawe katika misitu minene, iwe makaburini, iwe katika anga za chini, kati ama za juu, iwe katika njia panda, katika njia kuu, miti mikubwa, miti midogo, katika udongo, katika vyumba vya siri, ama pahala popote ambapo kuna uasisi ama utendaji wa kusababisha mauti kwa vingozi wa Tanzania wa aina fulani na wanaofanana nao, kapigeni kila ngome na nguvu yenye chimbuko la mfumo huu haribifu katikba Jina la Yesu Kristo aliye hai milele.

Pigeni wakuu wake, pigeni walinzi wa mfumo, pigeni washauri wao bila kujali wako wapi duniani, ama mahala pengine popote. Angamizeni silaha zao. Teketeza kwa moto wabunifu na wafua silaha zao. Haribuni lugha zao na kuwarejeshea madhara waliyokusudia kuyatengenea juu ya vichwa vyao wenyewe.

Kwa mikono yenu malaika, pitisheni panga zenu juu ya shingo zao wote bila kusaza hata mmoja. Wao na warithi wao waliowaandaa kuendeleza mfumo haribifu huu katika Jina la Yesu Kristo." "Malaika wa Bwana, nendeni mkategue mitego yote iliyotegwa kwa ajili ya wale wanaokusudia na uovu huu na asiathirike hata mmoja wao". Rudisheni madhara yaliyokusudiwa na mfumo huu mwovu kwa kambi ya watengenezaji wa mfumo huu mwovu katika Jina la Yesu.

Ninaweka ulinzi wa Damu ya Yesu Kristo, kwa kila mtu ambaye Mungu amemkusudia kusimamia Taifa la Tanzania kwa haki na kuweli. Natamka uzima kwa waliokusudiwa mateso na huu mfumo haribifu katika Jina la Yesu.

Kama jinsi Mungu uishivyo, majibu ya maombi haya yafanyike kuwa dhahiri machoni kwa watu wote ili dunia ijtambue kwamba wewe ndiye Mungu wa kweli, Mungu uliyeumba mbingu na nchi, Muumba wa vitu vyote, na kwamba kwako hakuna jambo lililofichwa ama ambalo haliwezekani.

Katika Jina la Yesu mimi na watu wote wenye moyo safi tuseme Amen. Amen. Amen.
 
Nilichojifunza hapa umetuambia namna JPM alivyokufa kumbe alilalamika kifua kinauma mpaka machozi yakawa yanamtoka then akadondoka wakamdaka ikawa ndio ntolee
.
 
Hii dot ukiunga na mwanzisha mada kiroho kuna ujumbe ...
 


Sa a Mkuu
 

Mkuu hiyo ni ndoto tuu inaweza kutimia au isitimie.

Hata hivyo expiring date huwa ni siku 360 tangu ndoto iotwe.

So tusubiri
 
Mkuu hiyo ni ndoto tuu inaweza kutimia au isitimie.

Hata hivyo expiring date huwa ni siku 360 tangu ndoto iotwe.

So tusubiri
Mkuu, siyo wote tuna vipawa tofauti. Mwingine anaota ndoto, mwingine anaona maono, mwingine anatabiri, mwingine miujiza, mwingine anafundisha, mwingine uponyaji, mwingine tafsiri za ndoto.

Wewe umeota ndoto kama wafalme na watu wengi kwenye Biblia waliota ndoto lakini hawakujua maana zake. Ilibidi watu wengine maalumu, (si kila mtu) watafstiri ndoto zile. kuna ndoto zilizotimia na kufanya madhara, kuna zingine zilikuwa zitimie lakini kwa kutumia vipawa mbalimbali vya watu wengine, waliojitambua, walichukua hatua na kubatilisha utimilifu wa ndoto na hivyo hazikutimia. Unaweza kuota ndoto yenye taswira nzuri lakini mchawi akijua, anaharibu utimilifu wa ndoto yako.
Kutokana na hizo kanuni batilishi, binadamu wasio na uelewa husema, zilikkuwa ndoto tu, hazikutimia n.k.

Ndoto isipotimia kuna maana nyingi na siyo lazima kwamba eti ilikuwa fake. Kuna viapwa vinaweza kubatilisha utimilifu wa ndoto.

Nimesoma ndoto yako, nimeelewa na nilichokifanya ndicho nilichotakiwa kukifanya katika hili..

Tusubiri nini? Kwamba mzee mgl afe naye ndipo tuanza kufanya nini? Kushangaa? kulaumiana? Kufanya nini?
Maombi haya nilyoyafanya yamebatilisha vitu vingi sana kwenye hiyo ndoto. Hutaona ikitimia kama ulivyoota. Ila ukitaka kujua kwamba ninachosema ni kweli, anza kufuatilia, utimilifu wa maombi nilyoomba na mikondo tuliyoelekezea uharibifu. Utawakumbusha wasomaji tena muda si mrefu.
 
Namuona rais wa sasa kaiingiza nchi kwenye boti inayoitwa chanjo ya uviko, baadhi ya wananchi wanamsonga kwa kutokubaliana na chanjo hii, Kisha nchi inayumba kwa kupitia kipindi kigumu cha uviko, Inagundulika kuwa tatizo Ni chanjo na serikali inaamua kustopisha chanjo, watu wanafanikiwa kushuka kwenye boti inayoitwa chanjo ya corona na hivo kuepuka madhara yake, lakini wengine hawawezi kuepuka madhara haya sababu tayari walikwisha chanjwa.
 
Una Roho ya kukurudisha nyuma..
 
Kuota mtu aliyekwisha kufa akafa tena kunaweza kuwa na implication mbaya kwa mhusika, maana imeandikwa siku ya mwisho wafu watafufuliwa. Wale waliotenda mema wataingia kwenye uzima wa milele, waliotenda maovu wataenda jehanamu au kuzimu na hii ndo mauti ya pili, tujitahidi sana kuishi kwa kumtumainia Mungu Mwenyezi ili mauti ya pili isije kutupata...
 
Mkuu una bahati sana kwa maana ulimuona magufuli live akiwa anatoa machozi ?

Sidhani kama kuna mtanzania kapata fursa ya kumuona mzee magufuli katika hali hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…