Hammer11
JF-Expert Member
- Feb 18, 2024
- 1,518
- 2,174
Habari za muda huu,
Natumai mko poa wana jamiii Leo sijaogopa kumpoteza binti mlokole nimemchana nikawambia wewe mimi kama hutak kunipa tunda na mimi usiniombe pesa.
Akasema sawa sitakuomba dooo badae nkawambwambia sasa kana hutaki mimi nikafanye kwa nani na wewe ndio wangu akajibu ety basi kila mtu afuate mambo yake wewe umenifuata na tamaa ndio maana umeshindwa mapema.
Mimi nikamjibu sawa tu nikakata simu mimi naona kama nimempoteza powa najipanga nitongoze mwengine asanteni
Natumai mko poa wana jamiii Leo sijaogopa kumpoteza binti mlokole nimemchana nikawambia wewe mimi kama hutak kunipa tunda na mimi usiniombe pesa.
Akasema sawa sitakuomba dooo badae nkawambwambia sasa kana hutaki mimi nikafanye kwa nani na wewe ndio wangu akajibu ety basi kila mtu afuate mambo yake wewe umenifuata na tamaa ndio maana umeshindwa mapema.
Mimi nikamjibu sawa tu nikakata simu mimi naona kama nimempoteza powa najipanga nitongoze mwengine asanteni