π€£π€£π€£π€£Duh kwani ndo mara ya kwanza kuachana mpka uanzishe uzi kwa hio na sisi tukizozana tukajibiwa shit na wapenzi sababu ya hasira tuje tuanzishe thread.umepata mkopo wa chuo?
Juhudi ulizokuwa nazo katika kulitafuta tunda la huyo binti mlokole kulingana na nyuzi unazoleta humu,,, ingekuwa ni katika kujiongezea mafanikio yako hakika hata Shetani mwenyewe angekubariki π€π
Kazi Kazi mkuuKazi kweli kweli
Ushawahi kula tunda lakini ???π€£π€£π€£
ππBahili wewe
Ushawahi kula tunda lakini ???π€£π€£π€£