BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,122
- 4,060
...Hahahaa! Umeingizwa Mjini...wakati tayari Upo Mjini!![emoji3][emoji3][emoji3]Wadau Leo nimezidiwa ujanja nimebaki nacheka kweli mjini shule nimemkuta mtu ana maembe dodo mazuri Mbagala stand nikayapenda, nikauliza bei akasema ni sh. 800 na yapo 4 Mimi nilitaka mawili tu....