Ni bora mwizi wa namna hii, kuliko yule anakuchukua, kisha anakuweka ndani, mwaka mzima, unateseka, huioni familia yako, unakula hovyo kisha unampa hela anayoitaka ndio anakuachia.
Mwizi wa hivi ni mbaya, sbb anakuibia huku anakupora haki zako za kijamii na kibinadamu, ila huyo mwizi wako yeye anakuibia lakini hakuchukulii haki zako, si unaona time hii uko kwako!
Oh mbona kuna wa miaka ya Sabini wapo humu wanatukanwa na akina Salary Slip et al ati ni madogo. JF Hii ni bora ikajifiaHahahaa 1988 sokoni kariakoo. Heshma yako kolola
Hata mie Babu yangu alikuwa hajabalehe kwani leo ni birthday yangu nimetimiza miaka miwili na nusu.Shikamoo! kumbe huwa tunajibizana mbovu na baba zetu na mama zetu wakati mwingine hapa JF! mwaka 1988 nilikuwa sijazaliwa.
Mh sie tunaitwa mara hatuna akili mara hatujaenda shule! Tumezoea ila ukweli hawa wapuuzi ni kazi yetu kuwaeleza ukweli.
Embe tatu au nne?Wadau leo nimezidiwa ujanja nimebaki nacheka kweli mjini shule nimemkuta mtu ana maembe dodo mazuri Mbagala stand nikayapenda, nikauliza bei akasema ni sh. 800 na yapo 4 Mimi nilitaka mawili tu.
Nikampa 10,000 akawa chenji hana ikabidi aniache na maembe yale manne na kiroba chake anaenda kuchukua chenji na kuleta mfuko aisee nimekaa Masaa nawili hajarudi. Nikawauliza majirani pale wanauza vitu wanasema hawamjui. Basi nimeondoka, kiroba nimetupa, nimechukua embe nipo home.
Pia soma: Uzi maalumu wa kupeana njia wanazotumia MATAPELI
Hujaibiwa kweli bali unafurahisha baraza. Mbona picha siyo za maembe uliouziwa?Daaah
100% ni wezi mkuu.hii tabia ipo sana kwa wafanyabiashara wa MorogoroTo be honest hatuwezi kuhukumu moja kwa moja kua umeibiwa coz huenda huyo muuza Maembe huko alipoelekea kutafuta chenji nae alipatikana na jambo lililomfanya achelewe kurudi au asirudi kabisa.
Matusi yao hayana nguvu sababu wanatukana wakiwa wamejificha nyuma ya hizi ID na keyboardsOh mbona kuna wa miaka ya Sabini wapo humu wanatukanwa na akina Salary Slip et al ati ni madogo. JF Hii ni bora ikajifia