UMASIKINI BWANA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 942
- 567
Baada ya kumtandika fimbo chumbani akakimbia nje huku akichechemea Mara nikasikia mtu anabisha hodi nilipokwenda msikiliza namkuta mtu flani anachechemea huku akiniambia " uumeona ulivyoniumiza?" akaondoka huku akilalamika. Nipo njia panda lakini I'm strong.
Updates: Panya Niliyemjeruhi Nimemkuta Kwenye Dustbin Hawezi Kukimbian Nimemmalizia Na Ufagio
Updates: Panya Niliyemjeruhi Nimemkuta Kwenye Dustbin Hawezi Kukimbian Nimemmalizia Na Ufagio