Leo nimeota nimekwenda Kanisani

Leo nimeota nimekwenda Kanisani

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Nimeota nimeingia katika Kanisa,wapo watu wengi mule ndani wanaabudu katika misa. Nikasimama pembeni, halafu akatokea mtu akasema,"We njoo hapa, familia yako iko huku.". Nikamfuata yule mtu mpaka katikati ya Kanisa, katikati ya waumini wengi, familia yangu walikuwepo pale standing in worship and adoration, mostly female members, mostly quite young,about five to ten members.
Sasa nikajitazama nikaona nimevaa bukta. ( Bukta Ile Ile niliyovaa wakati nimelala) Familia yangu imevaa vizuri,watu wote ndani ya Kanisa wamevaa vizuri, lakini mimi nimevaa bukta. Kwa hiyo yule mtu aliyeniita nikamwambia,"Wewe acha utani." Nikaondoka. Hiyo ni usiku.

Mchana nimedoze siesta,nikapata njozi,oh mchana I confess nimedoze for too long. Nimekaa kwenye kiti katika verandah napigwa na upepo wa bahari.Nikapata njozi nipo ndani ya daladala,nabishana na konda wa daladala pamoja na dereva wa daladala nawaambia kwamba nawadai sh. 300( mia tatu). Lakini walikuwa hawaelewi nasema nini.

Kwa hiyo nimeamka nimemkumbuka yule mtu aliyekuwa anasema kwamba watu wanaenda kwa Mwamposa halafu wakati mwingine wanatoka huko hawana nauli ya kupanda daladala.
Watu wa mikoani hawaijui labda. Huko kwa Mwamposa Leo kuna mkesha. Au labda watu wa mikoani wanajua. Nasikia watu wamekuja wengine toka mikoani, wengine kutoka nchi za nje.
 
Tatizo wengi hawamtaki Mungu wanataka kazi za Mungu.
Hakika nawaambia hawatapata muujiza katu labda muujiza wa kuishiwa nauli ya kurudi kwao
 
Namwamini Mungu baba Muumba mbingu na nchi.....
Namwamini roho mtakatifu....

Ndoto nzuri...anza kwenda kanisani
 
Mbona hue
Nimeota nimeingia katika Kanisa,wapo watu wengi mule ndani wanaabudu katika misa. Nikasimama pembeni, halafu akatokea mtu akasema,"We njoo hapa, familia yako iko huku.". Nikamfuata yule mtu mpaka katikati ya Kanisa, katikati ya waumini wengi, familia yangu walikuwepo pale standing in worship and adoration, mostly female members, mostly quite young,about five to ten members.
Sasa nikajitazama nikaona nimevaa bukta. ( Bukta Ile Ile niliyovaa wakati nimelala) Familia yangu imevaa vizuri,watu wote ndani ya Kanisa wamevaa vizuri, lakini mimi nimevaa bukta. Kwa hiyo yule mtu aliyeniita nikamwambia,"Wewe acha utani." Nikaondoka. Hiyo ni usiku.

Mchana nimedoze siesta,nikapata njozi,oh mchana I confess nimedoze for too long. Nimekaa kwenye kiti katika verandah napigwa na upepo wa bahari.Nikapata njozi nipo ndani ya daladala,nabishana na konda wa daladala pamoja na dereva wa daladala nawaambia kwamba nawadai sh. 300( mia tatu). Lakini walikuwa hawaelewi nasema nini.

Kwa hiyo nimeamka nimemkumbuka yule mtu aliyekuwa anasema kwamba watu wanaenda kwa Mwamposa halafu wakati mwingine wanatoka huko hawana nauli ya kupanda daladala.
Watu wa mikoani hawaijui labda. Huko kwa Mwamposa Leo kuna mkesha. Au labda watu wa mikoani wanajua. Nasikia watu wamekuja wengine toka mikoani, wengine kutoka nchi za nje.
Hueleweki jomba
 
Rudia kusoma ulichoandika hasa hapo kipengele cha mchana kushuka chini.
 
Back
Top Bottom