Nataka mara moja moja nakufanyia surprise mke..Daah ulivyokomaa kujifunza mapishi unataka kunipa talaka nini
Hapo kwenye viungo sasa..Mbona kama hujamaliza..Nyama bado hatujaweka..Chemsha nyama na vitunguu swaumu na tangawizi chumvi na limao.
Ikiwa tayari weka pembeni.
Kata vitunguu viwili vikubwa vikaange mpaka viwe brown. Weka nyanya, garlic, ginger, tumeric, paprika, cinamon, cardamons pilipili
Ukipata chanya nyanya acha vichemke weka na yoghurt natural.
Changanya wali ambao ni half way cooked, punguzs moto
Nyama ubaweka kabla ya maji na kama ina supu huweki tena majiChemsha nyama na vitunguu swaumu na tangawizi chumvi na limao.
Ikiwa tayari weka pembeni.
Kata vitunguu viwili vikubwa vikaange mpaka viwe brown. Weka nyanya, garlic, ginger, tumeric, paprika, cinamon, cardamons pilipili
Ukipata chanya nyanya acha vichemke weka na yoghurt natural.
Changanya wali ambao ni half way cooked, punguzs moto
Birian.
hii picha mbona kama ya ku "danilodi"?.
farkhina naona umepita mama..Nakumbuka ulinifunfishaga kupika maini..
tamu kabisa☝👍👍👍