Ha ha ha... UMENIKUMBUSHA mbali sana aisee[emoji1787]Hiyo mbali sana,hii yenyewe tunafanya peku akikaribia kumwaga anavaa ndom anajikuta anaanza tena utamu umekimbia
Ndo maana mnashauriwa kila bao ukaoge au ukanawe[emoji4]Mwanaume akivaa condom mwanamke hawezi kupata hiv labda ipasuke, lakini mwanaume akivaa condom akasex na mwenye hiv hakuna garantii kwamba atatoka salama. Shida ipo kwenye kuvua na kuvaa condom ingine
Nina mkasa mmoja hivi, one day nitasimulia.Mimi hata niione mbususu ya wema bila kinga nope siitafuni kamwe. Vijana kavu mbaya ndgu zangu acha HIV ipo Moja PANGUSA
Tupe mkasa Mzee baba vijana wajifunze supu ni mbayaNina mkasa mmoja hivi, one day nitasimulia.
Acha mzee! Kuna siku nitasimulia.Tupe mkasa Mzee baba vijana wajifunze supu ni mbaya
Ahaaaa Mahaba sio chumvi mzee baba kma kutembea nimetembea mpk viatu vimeisha...Tembea uyaone mkuu[emoji4],
Ujue mahaba ni mazuri mno ukimpata mtu sahii na awe anayajulia[emoji4]
Kupeana mahaba ki-oldschool kila Mara ndo maana mnawahi kuchokana HARAKA[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam!.
Na watu kama DeepPond wanaobugia ma K bila kujui zipo mwezini au zina michubuko ya michepuko mingineMwanaume akivaa condom mwanamke hawezi kupata hiv labda ipasuke, lakini mwanaume akivaa condom akasex na mwenye hiv hakuna garantii kwamba atatoka salama. Shida ipo kwenye kuvua na kuvaa condom ingine
Utakachokipata huko ndo malipo ya kaz yako mkuuKuichakata papuchi mpk wote mridhike ukate nyege zote iyo sio kazi ndogo bwashee.[emoji4]
Usichukulie POA chief, hiyo nayo Ni kazi[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hataree
[emoji28][emoji28]umetisha ,mzima lkn...Baada ya kupima nilikua na nidhamu wiki moja tu
Baada ya hapo kata funua kama kawaida iliendelea inaendelea na itaendelea
Ikipita miezi 4 ndio nn kwani?Mi sipimi kuna fisi nimemtafuna kavu nasubiri miezi 4 tuone
Tujue afya zetu ..Mnapimaga Mara kwa Mara ili mgundue Nini labda?[emoji4]
IPO siku mtakipata mnachokitafuta[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuaje mkuuNipo kwenye hyo dozi n hatari
[emoji23][emoji23][emoji23]Mi sipimi kuna fisi nimemtafuna kavu nasubiri miezi 4 tuone
[emoji23][emoji23][emoji23] nyege hazina adabu.Baada ya kupima nilikua na nidhamu wiki moja tu
Baada ya hapo kata funua kama kawaida iliendelea inaendelea na itaendelea
Utulie sasa,hiyo ni ya kwanza umebahatisha,au unataka ubahatishe tena...?Kwema?
Leo nimeamkia PITC nikasema liwalo na liwe acha niijue afya yangu. Sijawahi kupima HIV na niliapa sitopima labda niwe mjamzito. Ila kuna wakati viapo vinatenguliwa unakuwa na nafasi mbili, ujue afya yako au stress zikupige hadi ufe. Mimi nilichagua kuijua afya yangu.
Nimepewa elimu kabla ya vipimo, nikiri wazi kwamba kwa elimu niliyopewa na wale wataalam, hata ningekuwa nimeathirika nisingesononeka. Wanakupa elimu hadi unaona HIV kumbe sio kitu. Kisha wanakuuliza upo tayari? Hapo hiyo elimu nimepewa kwa masaa kama mawili. Niliwauliza hadi taratibu za kuchukua dawa kama nikikutwa nao na ni wapi naweza chukua dawa[emoji23][emoji23]nje nje huko nisipojulikana, side effect pia za dawa nk.
Ushauri, usipime HIV bila kupata ushauri na elimu nzuri. Acheni tabia ya kubebana na kutoboana toboana lodge huko. Rafiki yangu juzi alikunywa sumu kwa sababu alitoboana na mpenzi wake bila kupata ushauri wala elimu. Vikasoma viwili akarudi home akanywa sumu ila bahati nzuri aliwahiwa. Huyu ndio alinifanya wazo la kuijua afya yangu linijie kwa nguvu.
Nipongezeni basi kwa ujasiri[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ilikua hofu yangu tu kaka ,ila nmeacha baada ya dogo kua yuko fresh tumepima mara 2Ilikuaje mkuu