STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Nilijibanza mahala leo nikiwa nakimbia mvua. Ghafla
nikasikia mdada akiomba vitu kadhaa nikajua
atakuwa anasali anamuomba Mungu.
Cha ajabu
hatimae nikasikia "Ok baby mwah I love you.
Navisubiri".
Kumbe alikuwa akiongea na buzi. Maana
ilikuwa kali, naomba school fees za mdogo wangu, nisaidie nipate gari kama la Wema, naomba unipe
mtaji, nataka kwenda China, nisaidie na
matibabu ya shangazi anatakiwa
kwenda India.
nikasikia mdada akiomba vitu kadhaa nikajua
atakuwa anasali anamuomba Mungu.
Cha ajabu
hatimae nikasikia "Ok baby mwah I love you.
Navisubiri".
Kumbe alikuwa akiongea na buzi. Maana
ilikuwa kali, naomba school fees za mdogo wangu, nisaidie nipate gari kama la Wema, naomba unipe
mtaji, nataka kwenda China, nisaidie na
matibabu ya shangazi anatakiwa
kwenda India.