kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Kipindi kile KBC ilikuwa moto kama ilivyo clouds leo (Nazungumzia huku mikoani)
Wimbo huu uliimbwa sana na kiasi kwamba kama tusingekuwa tunaimbishwa nyimbo za uzalendo shule ya msingi, ingetuathiri sana kizazi cha wakati huo watanzania.
Chaz Omuga kabisae, Leonard Mambo Mbotela na wengineo ni baadhi ya majina yaliyoshika wengi na ni vigumu kusahau sauti zao za kuburudisha
Nani anakumbuka pomoja nami?Ijapo najua kizazi chetu wengi walikufa na HIV AIDS kwani ndo ilikuwa imepamba moto na condom tu zenyewe hazikuwepo licha ya dawa kutokufikiriwa hata kama zinaweza tokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Enzi za cinema...lkn sijui km mikoani zilikuwepo mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]Dah! Umenikumbusha mbali sana jameni...yaani enzi zile unaanika betri za Everready kwenye jua ili zitumike mara nyingi hadi zinavuja maji maji fulani hivi, kituo kilikua kimoja tu KBC na vipindi maarufu, kwanza sitokaa nisahau Sundowner.
Watu tumetoka mbali, hata internet nilianza na ile tulikua tunatumia dial-up modem, unalipa Kshs 45 (Tshs 1,000) kwa dakika
Wanangu huwa nawasimulia haya mambo ila hawaoni kama issue, wao wanajua WIFI niliyoweka ya internet bila kikomo ya Zuku, wanaunga vifaa vyao mchana kutwa ni videos na games kwa kwenda mbele. Wanatazama movies za Showmax na nyinginezo nyingi tu, nikikumbuka enzi zetu movie ulikua unakutana nayo mara mbili kwa mwezi, kuna jamaa walikua wanakuja usiku na kigali fulani hivi wanaanika kitambaa cheupe kisha wanakiangazia kurunzi inayomulika na kuonyesha filamu kwenye hicho kitambaa.
Hehehe! Unatembea kilomita zaidi ya kumi usiku ukifuata hiyo movie, ila ukijua nyumbani utarudi na kukuta umesubiriwa kupokea kipodo maana hayo mambo hayakua ruksa, tulikua tunatokea na kuingilia dirishani......hehehe haya mambo bana...mum RIP.
Buda.....and you're lucky if you could get kbc English service or else you're stuck with machokaa na "je huu no ungwana?"Dah! Umenikumbusha mbali sana jameni...yaani enzi zile unaanika betri za Everready kwenye jua ili zitumike mara nyingi hadi zinavuja maji maji fulani hivi, kituo kilikua kimoja tu KBC na vipindi maarufu, kwanza sitokaa nisahau Sundowner.
Watu tumetoka mbali, hata internet nilianza na ile tulikua tunatumia dial-up modem, unalipa Kshs 45 (Tshs 1,000) kwa dakika
Wanangu huwa nawasimulia haya mambo ila hawaoni kama issue, wao wanajua WIFI niliyoweka ya internet bila kikomo ya Zuku, wanaunga vifaa vyao mchana kutwa ni videos na games kwa kwenda mbele. Wanatazama movies za Showmax na nyinginezo nyingi tu, nikikumbuka enzi zetu movie ulikua unakutana nayo mara mbili kwa mwezi, kuna jamaa walikua wanakuja usiku na kigali fulani hivi wanaanika kitambaa cheupe kisha wanakiangazia kurunzi inayomulika na kuonyesha filamu kwenye hicho kitambaa.
Hehehe! Unatembea kilomita zaidi ya kumi usiku ukifuata hiyo movie, ila ukijua nyumbani utarudi na kukuta umesubiriwa kupokea kipodo maana hayo mambo hayakua ruksa, tulikua tunatokea na kuingilia dirishani......hehehe haya mambo bana...mum RIP.
Enzi za cinema...lkn sijui km mikoani zilikuwepo mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooooo!!safi sana...m nliona labda hawafiki interiorMimi mzawa wa Eldoret mjini, tulikua tunaletewa Cinema mara mbili kwa mwezi enzi hizo.
Nime kumbuka wakati ule NYANGAU ZILIKUWA NYANYAU KWELI ZILI POLA NDEGE ZETU BANA DA ! kweli siku zinaendaEnzi za cinema...lkn sijui km mikoani zilikuwepo mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nime kumbuka wakati ule NYANGAU ZILIKUWA NYANYAU KWELI ZILI POLA NDEGE ZETU BANA DA ! kweli siku zinaenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hivyo hamjaanza kunyan'ganywa mindege juzi, ni kitu kilianza tangu enzi za mababu zenu, desturi ya kutolipa madeni ya watu mnazembea, vinachukuliwa.
Hii ya juzi nahisi imewatia adabu, mkulima kajitilia mipesa yake mfukoni kimya kimya, ila natumai mlimlipa ya kutosha kumnyamazisha maana asije akawapa jeuri wengine wote ambao mumegoma kuwalipa.