kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Kipindi kile KBC ilikuwa moto kama ilivyo clouds leo (Nazungumzia huku mikoani)
Wimbo huu uliimbwa sana na kiasi kwamba kama tusingekuwa tunaimbishwa nyimbo za uzalendo shule ya msingi, ingetuathiri sana kizazi cha wakati huo watanzania.
Chaz Omuga kabisae, Leonard Mambo Mbotela na wengineo ni baadhi ya majina yaliyoshika wengi na ni vigumu kusahau sauti zao za kuburudisha
Nani anakumbuka pomoja nami?Ijapo najua kizazi chetu wengi walikufa na HIV AIDS kwani ndo ilikuwa imepamba moto na condom tu zenyewe hazikuwepo licha ya dawa kutokufikiriwa hata kama zinaweza tokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Wimbo huu uliimbwa sana na kiasi kwamba kama tusingekuwa tunaimbishwa nyimbo za uzalendo shule ya msingi, ingetuathiri sana kizazi cha wakati huo watanzania.
Chaz Omuga kabisae, Leonard Mambo Mbotela na wengineo ni baadhi ya majina yaliyoshika wengi na ni vigumu kusahau sauti zao za kuburudisha
Nani anakumbuka pomoja nami?Ijapo najua kizazi chetu wengi walikufa na HIV AIDS kwani ndo ilikuwa imepamba moto na condom tu zenyewe hazikuwepo licha ya dawa kutokufikiriwa hata kama zinaweza tokea
Sent using Jamii Forums mobile app