Leo nimetafakari sana kifo cha Rais Benjamin Mkapa

Status
Not open for further replies.
BINAADAM MJANJAMJANJA ANAPOTOA MACHOZI YA MAMBA VINATAKIWA VIPIMO MAALUM KUYATAMBUA!
🤔
 
UMESOMA MADA LAKINI AU NDO USHAWASHWA SWITCH YA KUSIFIA KILA MADA UNAKURUPUKA KUSIFIASIFIA TU MADA INA MUHUSU MKAPA WEWE UNAINGIZA MAMBO YA JPM NA WAPINZANI ALAFAU PUNGUZA SHOBO MWANAUME KUSIFIA SIFIA HAIPENDEZI
 
UMESOMA MADA LAKINI AU NDO USHAWASHWA SWITCH YA KUSIFIA KILA MADA UNAKURUPUKA KUSIFIASIFIA TU MADA INA MUHUSU MKAPA WEWE UNAINGIZA MAMBO YA JPM NA WAPINZANI ALAFAU PUNGUZA SHOBO MWANAUME KUSIFIA SIFIA HAIPENDEZI
Punguza hasira za kitoto
 
Leo kuna rafiki yangu moja yupo jikoni kabisa kwa meko, tulikuwa tunazungumzia uteuzi wa Waziri Mkuu.

Nikawa namuuliza vipi ikatokea Majaliwa asichaguliwe na Magu???,Je Mwaka 2015 majaliwa alikuwa chaguo namba 1 la magu.

Akasema ngoja nikupe kwanza mkanda nikianza na makamu wa Rais ule mwaka 2015,JPM aliambiwa apeleke majina 3 awe ameyapanga kimtiririko kwa umuhimu.

Anasema,katika list yake jina LA kwanza lilikuwa Dr. Hussein Mwinyi-Jina la 2 kuna jamaa nimesahau Nina lake na Jina la 3 alikuwa Mama samia. Wazee wakamuchagua Mama samia.

Alisema Magu na Dr.Hussein hawajakutana barabarani wana common bond kati yao ambapo watu wengi hawafahamu.
 
UMESOMA MADA LAKINI AU NDO USHAWASHWA SWITCH YA KUSIFIA KILA MADA UNAKURUPUKA KUSIFIASIFIA TU MADA INA MUHUSU MKAPA WEWE UNAINGIZA MAMBO YA JPM NA WAPINZANI ALAFAU PUNGUZA SHOBO MWANAUME KUSIFIA SIFIA HAIPENDEZI
Ulichoandika hapo umeficha ficha kama mwanmke kwanin usiweke wazi ulichokuwa unataka kusema ,,
 
Kuna watu huwa wana majibu tiyari kabla hawajaingia chumba cha mtihani
 
Huenda Ben alikuwa ni kama malaika aliyekuwa akizuia Shetani asiinue pembe zake zaidi!
Mkuu wanasiasa siyo watu wa kuamini. Mkapa RIP alikuwa akiwa jukwaani anasema hili halafu nyuma anafanya hili. Kuhusu la upinzani, mwaka 2015 kwenye uchaguzi yeye ndiye alizunguka nchi karibu nzima akihakikisha wanatangazwa wagombea wa CCM. Alienda Muleba Anna Tibaijuka alikuwa kapigwa watu walikuwa wanamtukana kama mtoto, akaforce atangazwe.
Akatoka hapo akaenda Bukkoba mjini, Kagasheki alikuwa kagalagazwa, Rwakatale kashinda, hawataki kumtangaza, yuko ndani wananchi wakasema watachoma kituo cha polisi na rwakatale akikubali kupokea pesa wanaenda choma nyumba yake. Vioo vikapasuliwa, watu wakaanza jipanga watafute mafuta walipue kituo ndipo ikabidi tu wamtangaze Rwakatale.
Wanasiasa we waace hivi hivi tu.
 
Mbona hyo stor magufuli mwenyew aliisema.
 
Uzi bora kabisa huu. Bwana yule ajitafakari kifo cha Mkapa. Amelikoroga. Mwana kulitaka mwana kulipewa. Panga halijawahi kuwa shosti wa mmiliki. Ukiliacha sebuleni, jambazi atalitumia dhidi ya mmiliki. Auae kwa upanga atakufa kwa upanga.

Wazee wanaojitambua ni hazina, usipoitumia, jiandae kufungua mlango bila funguo.

Sasa funguo ipo udongoni Lupaso, limebaki panga sebuleni. Matokeo yake ni uharibifu. Wenyeviti wa LAAC/PAC /POAC na KUB huenda kwa mara kwanza wakakosekana bungeni kwa taratibu zilizowekwa awali kwamba watoke upinzani huku the Hague ikiandaa court summons za bwana yule kuitwa ICC!

Balozi na nchi majirani zageuka refugees' camps huku taifa likiugua! Raia umuonaye barabarani kakenua meno hacheki na hajijui kama mdomo upo wazi. Akili haina mawasaliano na mwili maana imezidiwa na ukata uliokithiri huku nduguye akiwa muhanga wa vipigo vya polisi bila matibabu wakati wa kampeni za uchafuzi eti ulioitwa uchaguzi.

R.I.P Mkapa. Hukuwa malaika, walau ulitubu hasa ule udhalimu wa Zanzibar 2001.
 
Kinacho nishangaza mimi ni hawa Watawala wetu ,Baba wa Taifa hili Mwalimu Nyerere nae aliwahi kukiri Ubovu wa Katiba tuliyo nayo nae mpaka anaondoka Madarakani zaidi ya kusema/kukemea hakuweza kubadili Katiba hii.

Mzee Mkapa nae mpaka anaondoka Madarakani ameona Ubovu wa Tume yetu na Suala la Katiba mpya ,haku badili kitu zaidi ya kusema tu.Sijui ni kwa nini Watawala wengi wanaona mapungufu wakiwa nje ya Utawala
 
Si

Siyo kama rushwa mkuu.bila kumung'unya maneno ile ni RUSHWA na lengo ni kuunga mikono kupitiliza Kwa ukomo.tupo hapa utaona Mungu atujalie uhai
Eti Ali Mwenye miaka 95 ajengewe nyumba!. Tena siyo nyumba ya kawaida ni hekalu!. Ali na Jakaya mimali yote waliyonayo then majumba haya ya uzeeni ni ya kazi gani, au wanavitafutia urithi hadi vitukuu?

Naamini Ile ni rushwa tu ili muda ukifika wakae kimya mtu ajiongezee mihula!

Ben pamoja na mapungufu yake lakini hakutaka upuuzi wa kuongeza mihula, alikuwa kikwazo!
 
Ka
Kabisa
 
Mtabaki na "speculations" zenu hizo wakati wenzenu CCM washaanza kujiandaa kwa kampeni za 2025. Mkija kushtuka hata wabunge "handfuls" hamtawapata.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…