Leo nimetaka kumtandika Dada yangu vibao mbele ya mume wake. Wanawake wa siku hizi sijui wakoje!

Leo nimetaka kumtandika Dada yangu vibao mbele ya mume wake. Wanawake wa siku hizi sijui wakoje!

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Sister ameanza ubinafsi wa kipuuzi. Nmewasikia toka wakiwa room kwao kuna mgogoro. Shem anaomba game. Sister analeta usister duu kuwa eti kachoka.

Shem kabembeleza sana kuwa ana hamu na yeye ndo mkewe. Sister kaona kero kaamua kwenda sebuleni kucheck movies.

Nimemfuata sister na kumuuliza kwa nini anafanya mambo ya kiwaki? Je akifukuzwa pale home itakuaje? Sisi wengine tutaenda ishi wapi? Mtu anataka haki yake ya ndoa. Si apewe tu namwambia hivyo eti ananijibu...

Daaah... Nlimfuata nimewaka hasira natetema hivi kama Mayele na kutaka mwasha mbata za ukweli au hata ngemgonga vichwa kadhaa kumtia akili sawa.

Shem alikuja sebuleni akakuta huo mgogoro. Ikabidi sister aondoke kwenda chumbani kwao. Maana ananijua mi sinaga masikhara toka akiwa mdogo nlikuwa namwasha mbata akileta ujuaji.

Yaani wanawake wa siku hizi sijui wamekumbwa na nini. Hawaheshimu kabisa ndoa zao na waume zao. Wabishi kama nini sijui. Nimewaacha huko room wanarekebisha nadhani. Nmebaki sebuleni nicheck check movies nikitafuta usingizi.

Nadhani shemu atakuwa sasa ameona umuhimu wangu hapa kwake. Na kesho hatosahau na kuondoka na remote. Binadamu tunategemeana sana. Hatujui tu.
 
Sister ameanza ubinafsi wa kipuuzi. Nmewasikia toka wakiwa room kwao kuna mgogoro. Shem anaomba game. Sister analeta usister duu kuwa eti kachoka.
We jamaa,hii ni puruzai tu ya kuvutavuta muda au ni kweli?Una matatizo sehemu fulani ya mwili wako.Kumbuka,mwili unajumlisha viungo vyote kama vile miguu,mikono,kiuno,kichwa n.k.
 
We jamaa,hii ni puruzai tu ya kuvutavuta muda au ni kweli?Una matatizo sehemu fulani ya mwili wako.Kumbuka,mwili unajumlisha viungo vyote kama vile miguu,mikono,kiuno,kichwa n.k.
Matatizo ninayo sikatai... Mtu nashindwa kupata demu sababu ya ukata unadhani sehemu ya mwili wangu itakuwa imepoa tu? Lazima iwe inavimba kila wakati.ndo maana nmeumia sister yupo na anataka mnyima shemu game..
 
Sister ameanza ubinafsi wa kipuuzi. Nmewasikia toka wakiwa room kwao kuna mgogoro. Shem anaomba game. Sister analeta usister duu kuwa eti kachoka.

Shem kabembeleza sana kuwa ana hamu na yeye ndo mkewe. Sister kaona kero kaamua kwenda sebuleni kucheck movies.

Nimemfuata sister na kumuuliza kwa nini anafanya mambo ya kiwaki? Je akifukuzwa pale home itakuaje?sisi wengine tutaenda ishi wapi? Mtu anataka haki yake ya ndoa. Si apewe tu.namwambia hivyo eti ananijibu...

Daaah... Nlimfuata nimewaka hasira natetema hivi kama Mayele na kutaka mwasha mbata za ukweli au hata ngemgonga vichwa kadhaa kumtia akili sawa.

Shem alikuja sebuleni akakuta huo mgogoro. Ikabidi sister aondoke kwenda chumbani kwao. Maana ananijua mi sinaga masikhara toka akiwa mdogo nlikuwa namwasha mbata akileta ujuaji.

Yaani wanawake wa siku hizi sijui wamekumbwa na nini. Hawaheshimu kabisa ndoa zao na waume zao. Wabishi kama nini sijui. Nimewaacha huko room wanarekebisha nadhani. Nmebaki sebuleni nicheck check movies nikitafuta usingizi.

Nadhani shemu atakuwa sasa ameona umuhimu wangu hapa kwake. Na kesho hatosahau na kuondoka na remote. Binadamu tunategemeana sana. Hatujui tu.
Umemtendea haki Dada yako kunusuru ndoa yake.

Hao wapuuzi wanaojifanya wanakucheka wapotezee maana maisha yetu ya Africa hujulikana jinsi tunavyotegemeana hasa kiutamaduni tokana na extended families.
 
Umemtendea haki Dada yako kunusuru ndoa yake.

Hao wapuuzi wanaojifanya wanakucheka wapotezee maana maisha yetu ya Africa hujulikana jinsi tunavyotegemeana hasa kiutamaduni tokana na extended families.
Today on #IDAHOBIT the U.S. Embassy is flying the #Pride flag as a symbol of our strong belief that every person deserves to live with safety, dignity, and freedom from discrimination, including LGBTIQ+ people.

FB_IMG_1653010473871.jpg
 
Sister ameanza ubinafsi wa kipuuzi. Nmewasikia toka wakiwa room kwao kuna mgogoro. Shem anaomba game. Sister analeta usister duu kuwa eti kachoka.
Dogo tafuta maisha Yako acha kula chabo, yaani unaenda kusikiliza namna sister wako wanavyopelekewa moto😂👆😂 hafu huna pa kwenda shemeji akiwatimua pole sana
 
Sister ameanza ubinafsi wa kipuuzi. Nmewasikia toka wakiwa room kwao kuna mgogoro. Shem anaomba game. Sister analeta usister duu kuwa eti kachoka.

Shem kabembeleza sana kuwa ana hamu na yeye ndo mkewe. Sister kaona kero kaamua kwenda sebuleni kucheck movies.
Hahahahaha..
 
Back
Top Bottom