Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Sister ameanza ubinafsi wa kipuuzi. Nmewasikia toka wakiwa room kwao kuna mgogoro. Shem anaomba game. Sister analeta usister duu kuwa eti kachoka.
Shem kabembeleza sana kuwa ana hamu na yeye ndo mkewe. Sister kaona kero kaamua kwenda sebuleni kucheck movies.
Nimemfuata sister na kumuuliza kwa nini anafanya mambo ya kiwaki? Je akifukuzwa pale home itakuaje? Sisi wengine tutaenda ishi wapi? Mtu anataka haki yake ya ndoa. Si apewe tu namwambia hivyo eti ananijibu...
Daaah... Nlimfuata nimewaka hasira natetema hivi kama Mayele na kutaka mwasha mbata za ukweli au hata ngemgonga vichwa kadhaa kumtia akili sawa.
Shem alikuja sebuleni akakuta huo mgogoro. Ikabidi sister aondoke kwenda chumbani kwao. Maana ananijua mi sinaga masikhara toka akiwa mdogo nlikuwa namwasha mbata akileta ujuaji.
Yaani wanawake wa siku hizi sijui wamekumbwa na nini. Hawaheshimu kabisa ndoa zao na waume zao. Wabishi kama nini sijui. Nimewaacha huko room wanarekebisha nadhani. Nmebaki sebuleni nicheck check movies nikitafuta usingizi.
Nadhani shemu atakuwa sasa ameona umuhimu wangu hapa kwake. Na kesho hatosahau na kuondoka na remote. Binadamu tunategemeana sana. Hatujui tu.
Shem kabembeleza sana kuwa ana hamu na yeye ndo mkewe. Sister kaona kero kaamua kwenda sebuleni kucheck movies.
Nimemfuata sister na kumuuliza kwa nini anafanya mambo ya kiwaki? Je akifukuzwa pale home itakuaje? Sisi wengine tutaenda ishi wapi? Mtu anataka haki yake ya ndoa. Si apewe tu namwambia hivyo eti ananijibu...
Daaah... Nlimfuata nimewaka hasira natetema hivi kama Mayele na kutaka mwasha mbata za ukweli au hata ngemgonga vichwa kadhaa kumtia akili sawa.
Shem alikuja sebuleni akakuta huo mgogoro. Ikabidi sister aondoke kwenda chumbani kwao. Maana ananijua mi sinaga masikhara toka akiwa mdogo nlikuwa namwasha mbata akileta ujuaji.
Yaani wanawake wa siku hizi sijui wamekumbwa na nini. Hawaheshimu kabisa ndoa zao na waume zao. Wabishi kama nini sijui. Nimewaacha huko room wanarekebisha nadhani. Nmebaki sebuleni nicheck check movies nikitafuta usingizi.
Nadhani shemu atakuwa sasa ameona umuhimu wangu hapa kwake. Na kesho hatosahau na kuondoka na remote. Binadamu tunategemeana sana. Hatujui tu.