Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daaah! nimecheka sanaa. Sister akifukuzwa huna pakwenda, yaani wote mmeolewa[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2231168
Kuwa unayasikiliza maongezi ya wanandoa na unaingilia kati maamuzi yao.
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hana pa kwenda.Unaleta ubabe kwene nyumba za watu na hata huoni aibu, tafuta kwako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku nyingine akizingua wewe kamshikie miguu kabisa shemeji yako...
MmhhhToday on #IDAHOBIT the U.S. Embassy is flying the #Pride flag as a symbol of our strong belief that every person deserves to live with safety, dignity, and freedom from discrimination, including LGBTIQ+ people.
View attachment 2231163
Ni kweli mkuu ww ndo umeelewa maana ya hii maada maana hili jambo limekidhili sana huku mtaaniPamoja na upuuzi wa mleta mada lakini nadhani ujumbe wake umelenga kwa wanawake wa siku hizi kukithiri tabia zisizofaa ndani ya ndoa ikiwemo kuwanyima unyumba waume zao
Nahisi huyu mwamba siku mkimuona live hamtaamini!
Yawezekana hafanani kabisa na hizi mada zake na unaweza kuta ni mtu independent na successful sema kwenye muda wa kupumzika ndiyo huwa anaandika upuuzi achangamshe genge [emoji1][emoji1][emoji1]
Hukutakiwa kutangaza hii habari huku. Ni upuuzi mtupu!Today on #IDAHOBIT the U.S. Embassy is flying the #Pride flag as a symbol of our strong belief that every person deserves to live with safety, dignity, and freedom from discrimination, including LGBTIQ+ people.
View attachment 2231163
Ndio atulie sasa aache fujo kwene nyumba ya shemeji.[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hana pa kwenda.
Nadhani shemu atakuwa sasa ameona umuhimu wangu hapa kwake. Na kesho hatosahau na kuondoka na remote. Binadamu tunategemeana sana. Hatujui tu.
🤣🤣🤣🙏🙏🙏Mkuu umeilinda remote kwa gharama kubwa sana....
Naishi kwa kuheshimu nyumba ya watuNdio atulie sasa aache fujo kwene nyumba ya shemeji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio atulie sasa aache fujo kwene nyumba ya shemeji.
Sasa si ungempa ww shem kumuomdolea mawazo maana mtafukuzwa wote mjue[emoji1787][emoji1787]Sister ameanza ubinafsi wa kipuuzi. Nmewasikia toka wakiwa room kwao kuna mgogoro. Shem anaomba game. Sister analeta usister duu kuwa eti kachoka.
Shem kabembeleza sana kuwa ana hamu na yeye ndo mkewe. Sister kaona kero kaamua kwenda sebuleni kucheck movies.
Nimemfuata sister na kumuuliza kwa nini anafanya mambo ya kiwaki? Je akifukuzwa pale home itakuaje? Sisi wengine tutaenda ishi wapi? Mtu anataka haki yake ya ndoa. Si apewe tu namwambia hivyo eti ananijibu...
Daaah... Nlimfuata nimewaka hasira natetema hivi kama Mayele na kutaka mwasha mbata za ukweli au hata ngemgonga vichwa kadhaa kumtia akili sawa.
Shem alikuja sebuleni akakuta huo mgogoro. Ikabidi sister aondoke kwenda chumbani kwao. Maana ananijua mi sinaga masikhara toka akiwa mdogo nlikuwa namwasha mbata akileta ujuaji.
Yaani wanawake wa siku hizi sijui wamekumbwa na nini. Hawaheshimu kabisa ndoa zao na waume zao. Wabishi kama nini sijui. Nimewaacha huko room wanarekebisha nadhani. Nmebaki sebuleni nicheck check movies nikitafuta usingizi.
Nadhani shemu atakuwa sasa ameona umuhimu wangu hapa kwake. Na kesho hatosahau na kuondoka na remote. Binadamu tunategemeana sana. Hatujui tu.
Hii mbinu wewe imekusaidia sana hadi unachekelea kabisa. Si kila kitu kinakuwa applied kwa kila mtu.Sasa si ungempa ww shem kumuomdolea mawazo maana mtafukuzwa wote mjue[emoji1787][emoji1787]