Pamoja na yote, kumbuka tu huu mtaji wa afya kuna siku utaisha...yaani ni mwendo wa kupokezana tu.
Wakati ukifurahia afya yako kuwa imara, kuna mwenzako huko anapambania uhai wake mda huu, lakini itafikia kipindi ambacho wewe utapambania uzima na afya yako wakati wenzako wanagonga chupa mezani.
It's just a cycle!