Leo nimethibitisha TFF inaendeshwa na Simba

Leo nimethibitisha TFF inaendeshwa na Simba

Kamati ya masaa 72 imekaa leo baada ya Masaa zaidi ya 300 kushughulikia swala la Morrison.

Kamati ilishindwa kukaa kwenye swala la Inonga pamoja na yule jamaa wa coast aliyetaka kumvunja mguu Bangala.

Lakini kwa sababu ni Morrison kamati imekaa wakati tukio lake lilikuwa kwenye round ya 3 lakini limeamliwa kwenye round ya nne.

Kwani walikuwa wanahara kushindwa kukaa round ya 3 na kuchukua maamuzi.

Jana ligi imesimamishwa mechi ya round 5 na kusogezwa mwezi 11 kutoka mwezi huu kwani walikuwa wanahara kushindwa kujua ratiba za fifa.

Kwanini game 3 zilizopita za Yanga na Simba zimechezwa ndani ya siku 7 iliwezekana vipi?

Mechi ya Yanga na Ihefu imesogezwa mbele Ili Morrison akose gemu ya Simba October.

Kiukweli leo ndio nimeelewa TFF ni tawi la simba ila niwape tu angalizo Yanga itabeba ubingwa wa Tanzania mpaka 2032.
Hawa Tifuatifua wa Karai hao ni shida kweli kweli.
 
Tumeshawazoea na hizi sababu zenu zisizo na mashiko. Dickson Job, Juma Shaban, na sasa Bernard Morrison wakifanya makosa ya utovu wa kinidhamu; wanafungiwa! Ila makosa ya aina hiyo hiyo wakicheza wachezaji wa simba na Coastal Union, mnakuja na sababu za aina hii.

Uzuri ni suala tu la muda. Huyo Msomali wenu hatakiwa rais wa maisha pale TFF. Muda wake ukifika, ataondoka kwa aibu! Na Shirikisho litarudi mikononi mwa wenye mpira wao.
Dua la kuku
 
Itasikitisha sana endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
 
Tukubali au tukatae licha ya kazi nzuri ambazo TFF wanafanya Kwa ajili ya kukuza soka letu bado kuna baadhi ya changamoto ambazo wanatakiwa kuzifanyia kazi hiyo ikiwa ni moja wapo

Kamati kuitwa ya masaa 72 means mechi inapoisha baada ya masaa 72 inabidi iwe ishatolewa ufafanuzi na hiyo kamati. Ikitokea kamati imechelewa inabidi itoe taarifa Kwa Umma mapema iwezekanavyo.

Watu kama GSM, Billionea Mo na wengine wamewekeza pesa nyingi kwenye mpira hivyo TFF hatutakiwi kufanya kazi Kwa mazoea na mihemko bali Kwa weredi tena wa hali ya juu ili soka letu lizidi kukua.

Tupo kwenye ulimwengu wa teknolojia kama wajumbe wanaishi mbali mbali wanaweza tumia Video Conference ikawasaidia kufanya maamuzi.

NB:
Sisapoti utovu wa nidhamu kwenye michezo, wachezaji wanatakiwa kulindana wenyewe Kwa wenyewe kwani afya yao ndo mtaji wao.

Dangerous play ya namna yoyote Ile inabidi iadhibiwe vikali yellow card or redcard haitoshi sababu inahatarisha hata uhai wa mchezaji mwingine( Inonga v Sure boy)

Kama yellow tu inatosha kama baadhi ya watu wanavyotetea tukio la Inonga, kumbuka hii itafanya wachezaji wengine nao kufanya wakiamini kuwa wataadhibiwa tu Kwa yellow card basi, matokeo yake tunaharibu soka letu kuwa la vuruga na mwisho wa siku tunaweza kupata tukio baya zaidi ndani ya uwanja( mwenye macho na aone)
 
Tumeshawazoea na hizi sababu zenu zisizo na mashiko. Dickson Job, Juma Shaban, na sasa Bernard Morrison wakifanya makosa ya utovu wa kinidhamu; wanafungiwa! Ila makosa ya aina hiyo hiyo wakicheza wachezaji wa simba na Coastal Union, mnakuja na sababu za aina hii.

Uzuri ni suala tu la muda. Huyo Msomali wenu hatakiwa rais wa maisha pale TFF. Muda wake ukifika, ataondoka kwa aibu! Na Shirikisho litarudi mikononi mwa wenye mpira wao.
Kamà ilivyokuwa Kwa malinzi,mbio za vijiti kudadadek.....mtanyooka
 
Tukubali au tukatae licha ya kazi nzuri ambazo TFF wanafanya Kwa ajili ya kukuza soka letu bado kuna baadhi ya changamoto ambazo wanatakiwa kuzifanyia kazi hiyo ikiwa ni moja wapo

Kamati kuitwa ya masaa 72 means mechi inapoisha baada ya masaa 72 inabidi iwe ishatolewa ufafanuzi na hiyo kamati. Ikitokea kamati imechelewa inabidi itoe taarifa Kwa Umma mapema iwezekanavyo.

Watu kama GSM, Billionea Mo na wengine wamewekeza pesa nyingi kwenye mpira hivyo TFF hatutakiwi kufanya kazi Kwa mazoea na mihemko bali Kwa weredi tena wa hali ya juu ili soka letu lizidi kukua.

Tupo kwenye ulimwengu wa teknolojia kama wajumbe wanaishi mbali mbali wanaweza tumia Video Conference ikawasaidia kufanya maamuzi.

NB:
Sisapoti utovu wa nidhamu kwenye michezo, wachezaji wanatakiwa kulindana wenyewe Kwa wenyewe kwani afya yao ndo mtaji wao.

Dangerous play ya namna yoyote Ile inabidi iadhibiwe vikali yellow card or redcard haitoshi sababu inahatarisha hata uhai wa mchezaji mwingine( Inonga v Sure boy)

Kama yellow tu inatosha kama baadhi ya watu wanavyotetea tukio la Inonga, kumbuka hii itafanya wachezaji wengine nao kufanya wakiamini kuwa wataadhibiwa tu Kwa yellow card basi, matokeo yake tunaharibu soka letu kuwa la vuruga na mwisho wa siku tunaweza kupata tukio baya zaidi ndani ya uwanja( mwenye macho na aone)
Hii makala uloandika hapa ungemuandikia karia.
 
Kamati ya masaa 72 imekaa leo baada ya Masaa zaidi ya 300 kushughulikia swala la Morrison.

Kamati ilishindwa kukaa kwenye swala la Inonga pamoja na yule jamaa wa coast aliyetaka kumvunja mguu Bangala.

Lakini kwa sababu ni Morrison kamati imekaa wakati tukio lake lilikuwa kwenye round ya 3 lakini limeamliwa kwenye round ya nne.

Kwani walikuwa wanahara kushindwa kukaa round ya 3 na kuchukua maamuzi.

Jana ligi imesimamishwa mechi ya round 5 na kusogezwa mwezi 11 kutoka mwezi huu kwani walikuwa wanahara kushindwa kujua ratiba za fifa.

Kwanini game 3 zilizopita za Yanga na Simba zimechezwa ndani ya siku 7 iliwezekana vipi?

Mechi ya Yanga na Ihefu imesogezwa mbele Ili Morrison akose gemu ya Simba October.

Kiukweli leo ndio nimeelewa TFF ni tawi la simba ila niwape tu angalizo Yanga itabeba ubingwa wa Tanzania mpaka 2032.
Hilo lipo wazi lakinimungu yupo nasi,tuna Tk Master ataziba gape

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom