Sijajona cha kuchekesha hpo
Anataman kuishi Arusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajona cha kuchekesha hpo
Hata Wewe sikuhizi dish lako limetulia maana...nikikukumbukaaa daaaDish limeyumba
Ukikumbuka nn j..njoo pemben uninong'oneze[emoji1787][emoji1787]Hata Wewe sikuhizi dish lako limetulia maana...nikikukumbukaaa daaa
Ukikumbuka nn j..njoo pemben uninong'oneze[emoji1787][emoji1787]
Mhhh,mimi?Mambo yako yalikuwa hayashiki networks
Unataka nikufananishe ili nije pm?? Tukumbushane?Mhhh,mimi?
Sidhani,naona itakuwa umenifananisha.
MhhUnataka nikufananishe ili nije pm?? Tukumbushane?
Umeguna au umrkubali??
Kukubali nini?Umeguna au umrkubali??
Unataka nikufananishe ili nije pm?? Tukumbushane?
Bado dishi lake limeyumba huyo ukitaka mfatilie kwenye uzi wa vyakula tuKukubali nini?
Mzee hebu nenda kwanza kawape kuku pumbaBado dishi lake limeyumba huyo ukitaka mfatilie kwenye uzi wa vyakula tu
Yes ofcozHivi ni lazima kuanzisha uzi kwa kila kitu?
Poa chief 😂😂Mzee hebu nenda kwanza kawape kuku pumba
[emoji4] [emoji4] tufukulie kaburi mkuuUmerudi lini daresalama kutoka Denmark?
We mbusi umeanza uwaki zamani sana fara wewe. ephen_ umemuona The Stress Challengerr enzi hizo anajiita Jon StephanoMzuqa wanajf,
Nilikuwa nashuka kwenye kituo changu mlango wa nyuma. Licha ya kubonyeza kengele mlango bado ulikuwa haufunguki ila wa kati ulifunguka. Nikapiga kelele kwa lafudhi kali ya Arusha kumshtua dereva Yereeeeeeeeeeeeeh kilichofuatia ni mlipuko wa kicheko cha hatariiii. Mlango ukafunguka kabla sijashuka nikaachia nyingine yeyoooooooooh huku nyuma yangu nikiacha watu mbavu hawana. Huyooooo nikasepa zangu.
Kumbe ni mtu wa A town huyo ndio maana bhangi muda woteWe mbusi umeanza uwaki zamani sana fara wewe. ephen_ umemuona The Stress Challengerr enzi hizo anajiita Jon Stephano
A town ilikufa zamani. Ni A City, Rchugga, Chugastan, OlolooKumbe ni mtu wa A town huyo ndio maana bhangi muda wote