Leo nina furaha sana usiku huu

Leo nina furaha sana usiku huu

😀😀😀😀
sipati picha
Watu wana wivu hata hawalike jamani lakin ningekuwa nalia nanung'unika hapa watu wangelike kweli ,,yaan watu hawapendi wenzao wapate furaha kabisa,,leo nna furaha nyie hata mtu aniudhi siudhiki kabisa
 
Hahahahahahaaaaa.

Nimecheka sana na uzi wako.

Pole bana usikufwe na utamu bora umetoa ya moyoni.

Kila la kheri!!
Mama sabrina ni naniii
Umecheka nini Mwifa nambie bana
Nataka kufa sina utamu mwilin wote umeisha,wale wadudu wakakutane na chumvi tu
 
Watu wana wivu hata hawalike jamani lakin ningekuwa nalia nanung'unika hapa watu wangelike kweli ,,yaan watu hawapendi wenzao wapate furaha kabisa,,leo nna furaha nyie hata mtu aniudhi siudhiki kabisa
wanamuonea wivu huyo mkaka..
si unakumbuka tangu uzi wako wa mwanzo walivyo mponda
 
how-to-layout-three-bedrooms.jpg

Kila siku mimi nafanya hivi vitu unaeza nivumilia??
 
Jinsi ulivyohadithia na kuponda wengine
Mwifwa mru kanirushia pic ana vinywele vipilipili kwapan hivi alidhan ntajisikia vizuri ,ukijumlisha ana sura kali ya kunyweshea uji mtoto ,aliniharibia sana siki yangu ya jana huwezi amini sipendi kuona makwapa ya watu hasa yenye vipilipili
 
Back
Top Bottom