Leo ningependa kuzungumzia urembo kwa WANAWAKE.....!

Leo ningependa kuzungumzia urembo kwa WANAWAKE.....!

Last edited by a moderator:
Mtambuzi bahati mbaya sana mimi nikijiremba nachukiza wala sitanii nikiwa nachuro ndio napendeza
 
Last edited by a moderator:
Vitana yes . . .
Na kutinda kunasaidia kubadili aina ya muonekano mara kwa mara tokana na vile unavotaka ziwe.

mie na uchakaramu wangu ntatoa wapi muda wa kutinda nyusi baada ya siku mbili,,,ujue huu ni utumwa kwangu mie ninaeota minywele kama gorilla,vingine tunawaachia nyie best
 
Sasa kwenye wedding si unakuwa na wasaidizi . . . sasa siku ukiwa mwenyewe utaangalizia wapi? LOL

wedding ikiisha ndo basi tena kwa nini nipate tabu wakati nilivyo hivi natoka chicha khaaa!!!!!!!!
 
haka kamada kamenigusa kwenye upande wa mavazi huwa na tabia nanunua nguo naipenda dukani ikifikaa nyumbani nikivaa mara moja naichukia.
 
huyu dada ni mmoja wapo wa wasiotinda nyusi hata umwambie nini

kuhusu kutinda nyusi hatokaa akuelewe.......

umeona eeeh kuna watu wakibaki natural wanakuwa na mvuto hatariiiiii wanamshinda hata aliyeweka madude kibao,nimempenda bureeeeeee swali la nyongeza Heaven on earth huyu sista kaolewa au bado yupo yupo kwanza maana Mentor na Baba V wanatafuta wife teh teh
 
mkuu kweli hili darasa huru ngoja nimpelekee wife maana toka alivyototoa kuna vitu kavisahau... sababu ya ubussy

kwenye hayo matembezi mi ntajitahidi niwemo mkuuu
 
asante mkuu kwa darasa huru,, hapo kwenye nyusi mie zangu natural sijazikata na ni nzuri tu zinatoa sexy mwenyewe!!!!!!!!
 
Apo kwenye mazoezi umeongea la maana sana. Wanawake kwenye hayo mengine wengi tunayaweza lkn ukija kwenye kupiga tizi tunashindwa. Mazoezi mbali ya kueka shape vizuri lkn pia yanasaidia kufanya ngozi iwe nzuri na kuchelewa kukonga. Mtambuzi chakula pia kinahusika ktk kumueka mwanamke kwenye muonekano mzuri, au hujui kama kuna baadhi ya vyakula vinatuchafua shape na ngozi. Na wanawake wa bongo tunavopenda nyamnyam za ovyo basi. Tunashindwa kuji control.
 
Last edited by a moderator:
huyu dada ni mmoja wapo wa wasiotinda nyusi hata umwambie nini

kuhusu kutinda nyusi hatokaa akuelewe.......

HAW.jpg


hassanmaajartrustfundraisinggaladinner2013-82-of-282.jpg
huyu ndo kama mimi, swala la kutinda nyusi hata uniambieje sitakuelewa, urembo mwingine wote nitafanya lakini sio kutinda nyusi
 
[IMG said:
http://cdn.madamenoire.com/wp-content/uploads/2012/08/shutterstock_17943757.jpg[/IMG]

mazoezi ni muhimu kwa mwanadamu kwa ajili ya kuuweka mwili katika hali nzuri kiafya, lakini wengi wetu tumekuwa wavivu sana kufanya mazoezi hata ya kutembea. Kwa upande wa wanawake wa hapa nchini hili ni tatizo kubwa. Wanawake wengi hapa nchini ni wavivu katika kufanya mazoezi na ndio sababu wengi wana vitambi na hivyo watu wengi kudhani kwamba wana ujauzito.

Urembo kwa mwanamke unajumuishwa na muonekanao wa mwili kama umekaa katika shepu nzuri. Sura siyo hoja sana, bali maumbile. kuna baadhi ya wanawake wamejaaliwa kuwa na sura na maumbo mazuri lakini baada ya kufakamia bia na nyama choma hususan kiti moto huumuka na kuwa na maumbo makubwa na mabaya yasiyo na mvuto.

Mazoezi hayahitaji gharama, maana wengi hapa watakuja kulalamika kwamba hawana fedha za kwenda Gym. Kwa wale walioko Dar na wanaofanya kazi maeneo ya mjini nawaalika waje wajiunge na Club yetu ya mazoezi ya kutembea jioni kuanzia Jengo la Exim Tower kuzunguka Gymkhana Club kupitia ufukwe wa bahari ya Hindi hadi Palm Beach kisha tuna pita barabara ya Umoja wa Mataifa mpaka Diamond Jubilee kisha tunatokea mahakama ya Kisutu na tunamalizia pale Exim Tower kila siku za kazi kasoro siku za Jumamosi na Jumapili. Hakuna Kiingilio na parking ipo. kwa anayetaka anaweza kuwasiliana na mimi kwa PM........

Hiyo ndo imenivutia kuliko vyote, mnaanza saa ngapi na kumaliza saa ngapi? Hapo Exim towers mnakutana saa ngapi? interested to join in the team seriously.
 
Athante kwa darasa,me hapo kwenye mazoezi,nlikua nafanyaga ila sasa nimekua mvivu kweli..
Hayo mambo ya nyusi,sijui kope nawaachia wenyewe maana binafsi nikianza kujiweka makitu usoni nakua kama zimwi likujualo...ila nikiwa bila chochote nakua so naturaly na cute kwelí
 
Back
Top Bottom