rockie rocky
New Member
- Apr 14, 2017
- 1
- 0
kwanza nitapiga pale ninapoficha pesa na pili nitapiga pale ninapojifichaga kama nikiwa nadaiwa
hahaha aya bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanza nitapiga pale ninapoficha pesa na pili nitapiga pale ninapojifichaga kama nikiwa nadaiwa
Nimeweka mikono mfukoni mdo mdo narudi.rudi kama ulivyokuja
hahahahahahahahahaaaaass umeua mkuukwanza nitapiga pale ninapoficha pesa na pili nitapiga pale ninapojifichaga kama nikiwa nadaiwa
Fanya maarifa nilipate pilau la pasaka.ha ha ha jinga wew
i wish I wish but duh maradhi pata mimi .. nitakualika pasaka yetu niombee uzima tu rafikiFanya maarifa nilipate pilau la pasaka.
Ukishapiga nitumie nizione hizo sehemu zako za siri![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Na mimi nitapiga pale napotunzia nyuklia zangu.
Nategemea na wewe utanitumia ukishapiga hizo sehemuUkishapiga nitumie nizione hizo sehemu zako za siri!
Mimi sina sehemu za siri! Labda nikutumie sehemu za wazi.Nategemea na wewe utanitumia ukishapiga hizo sehemu