Leo nmekula sahan mbili za wali maharage samak na kisamvu

Huo mchanganyiko wako tumbo litakuwa na mambo mawili usiku.

1.Litoe Gesi
2.Litoe Maji yenye mabaki ya huo mchanganyiko.
 
.........Waaaaali na soooooombe, yoooo kanakolea kwa shingo.....! Likayabuu eeeh likayabuu.....!
 
Mimi mwenyewe kisamvu siwezi kula bila maharage,yaani lazima viende pamoja na samaki au dagaa mchele
 
Sasa kama wanawake zako wanatumia nazi ya azam kuungia maharage na kisamvu utapata wapi taste ya chakula? Usione wenzio wanapenda wanawake wa Tanga ukawaona maboya wanajua shughuli yetu jikoni
Hapa unazungumzia nazi halisi ya kukuna mwenyewe au sio!
 
Sasa kama wanawake zako wanatumia nazi ya azam kuungia maharage na kisamvu utapata wapi taste ya chakula? Usione wenzio wanapenda wanawake wa Tanga ukawaona maboya wanajua shughuli yetu jikoni
Hahahahaha,ila kwel watoto wa kitanga wako vzur,..kuna m1 nilibahatikaga asee,nilienda kwake akanipikia wali ,maharage na kuku wa kukaanga halaf kuna ile mboga ya majan,sjui mboga gan walah nilimuuliza akagoma taja akasema kama unataka vtu adim we njoo ule..ile mboga alisema kaweka nazi,ila ilikua ina weupe flan halaf ikawa na ka usukari flan kwa mbal halaf ilikua laini mkuu.ina haruf ya pilipil manga sjui,..dah,nililala kwa yule dada siku 2..akikukaangia yai tuu,unachanganyikiwa,sjui anaweka nin,linanukia kama,umekatiza mitaa ya kisutu ya wahind kule
 
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Soma tena uzi,hukunielewa....mi nafanya diet mkuu,na sijala vyakula hvyo mda mref,so leo niliamua kukata kiu,...au we ndo wale wazee wa kuponda tuu chochote kiandikwacho jf,..ts weird,b positive tu,wala si gharama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…